ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
huku vijana wadogo tu wanamiliki V8 itakua wabunge 😀😀😀😀Ameiba pesa za umma
huku vijana wadogo tu wanamiliki V8 itakua wabunge 😀😀😀😀Ameiba pesa za umma
Wote wetu wale 😅😅😅 msudan ni hivyo tu yupo mbali ila angekua mahali kunyaland ipo nae mulemulena rwanda hana ujanja kwa tanzania 😂😂
ila still tunaweza kwa kupitia uganda na yeye alikua interested alipokuja tanzania salva kirWote wetu wale 😅😅😅 msudan ni hivyo tu yupo mbali ila angekua mahali kunyaland ipo nae mulemule
Unajua kama deni la Kenya ni kubwa mara 3 ya Tanzania?Tunajenga Kwa pesa za ndani Ni Hera zetu 🤣🤣🤣🤣🤣💸💸 niliwaambia hawataficha for long village boy chongchung come and explain this... The best 007 ichoboy01 endeleeni kujengwa Kwa Hera za ndani kabisa hehe View attachment 2084665
Kama una ubavu leta gari celebrities wenu wanaendesha na Tanzania ilete wake, celebrities wenu tu kwanza 80% wanaishi kwenye slumsHehehe!!labda ksh600m..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwizi huyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpaka rahaMwizi huyo
Kwanza celebrities wenu ndio wanaunga unga sana basi km hujui, ni kundi flani tu ndio wanatesaKama una ubavu leta gari celebrities wenu wanaendesha na Tanzania ilete wake, celebrities wenu tu kwanza 80% wanaishi kwenye slums
Mbona unawatetea wahujumu uchumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka raha
Kenya ndio inaongoza kuwa na magari mengi ukanda huu licha ya kuwa expensive kumilikiSasa Kenya mpaka uwe na 20 million ndio umiliki gari wakati Tanzania million 3 tu una uhakika wa kupata gari, wapi watakuwa na gari nyingi?
Case ya supercars ni tofauti na unachojaribu kuelezea sababu mwenye uwezo wa kununua Ferrari, ushuru sio issue kwake.
Kenya wengi masikini hamna uwezo wa kushindana na Tanzania lakini hamsikii
hvi kuna mafisadi wakubwa kama wanasiasa wakenya watu wanaiba mpaka wanajiibia na wao wenyewe 😂😂😂😂😂Mbona unawatetea wahujumu uchumi
Tanzani watu ni walalahoi bana
ikiwa msemaji wa yanga tu ana prado 150 ya 2019 sawa na anayotumia waziri wa kenya
haji manara aka bugati
komora096
Bila ya mita kuendelea huwezi pata gari ya maana, hapo umesema kweliSi umesema hapa gari zote foreign kenya si za wakenya , gari kenya ni very expensive but still tuna gari nyingi kuwashinda, gari ya maana kenya lazima ukue na tzs.20m kuendelea
according to who ??? mama ngina 🤣🤣Kenya ndio inaongoza kuwa na magari mengi ukanda huu licha ya kuwa expensive kumiliki
gari kama hilo manara msemaji wa yanga ndio anamiliki 😂😂😂😂
Umeelewa topic?Kwanza celebrities wenu ndio wanaunga unga sana basi km hujui, ni kundi flani tu ndio wanatesa
Wanasiasa wenu wezi sana,according to who ??? mama ngina [emoji1787][emoji1787]
ushavuta kinyuzi cha kwenye kende hawezi kuelewa hapo 🤣🤣🤣🤣Umeelewa topic?