Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unataka upewe uthibitisho upi mzee.? Estimation zinasema NAIROBI by 2030 itakua na magari 1.35 million View attachment 2084975while DSM alone ilikua na idadi kama hiyo ya magari 2012 report says 👇View attachment 2084977yani miaka kumi iliyopita DSM ilikua na magari mengi zaidi ambayo yanakadiriwa kuwepo Nairobi by 2030. Hii itakua ni baada ya miaka 18 😂😂😂 Alaf bado unakaza fuvu.?
Work with genuine statistics which are readily available online stop doing random blog Google's za 2012 and posting them here one thing pia unaefaa ukumbuke that's not how cars are counted each year Kuna alot of cars that become unroadworthy Kuna zenye Zina breakdown ama zinazeeka and stuff and the owners don't replace so bringing a 2012 article and expecting the graph to have raised you on a lost cause we Ni Wale mtapewa mtihani muwachiwe internet Na bado muanguke
 
Vitu vingine si lazima vya kubishana ... Si lazima mubishe Kila kitu blindly Google any statistics online starting from registration of vehicles to import statistics they all show Kenya imports more vehicles this a childish argument that doesn't add value to a country but just had to post muwache kelele mingi huku NDINDA just do some slight quality research utaona View attachment 2084972View attachment 2084973View attachment 2084974View attachment 2084976
hii ndio official source ???😂😂😂😅
 
Kuna siku ninewambia hapa, kenya ukiona foreign number plate hata km ni SSD usishtuke mzee hyo ni ya mkenya..

Lkn ile siku utaenda nje ya kenya hapa EA ukute gari ambalo plates zake ni za kenya basi hilo gari 90% litakua ni la mkenya

Our neighbour baba yao alikua akifanya kazi namibia nadhan mpka sai yuko hko ju nimetoka kitambo sana upande ule wa kwetu..jamaa magari yake yote plates ni za Namibia, funny thing alikua akija na gari kutoka hko mpka mombasa
Kawaida Kuna miezi 3 unaruhisiwa kutumia hizo namba za nchi zingine, baada ya hapo lazima ubadilishe, au upate kibali maalumu cha kuendelea kutumia hizo namba, hiyo ni kwa ajili ya usalama wa nchi, Kama Kenya inaruhusu hizo namba kuendelea "indefinitely", ndio sababu Kenya usalama ni mdogo sana.
 
Kuna siku ninewambia hapa, kenya ukiona foreign number plate hata km ni SSD usishtuke mzee hyo ni ya mkenya..

Lkn ile siku utaenda nje ya kenya hapa EA ukute gari ambalo plates zake ni za kenya basi hilo gari 90% litakua ni la mkenya

Our neighbour baba yao alikua akifanya kazi namibia nadhan mpka sai yuko hko ju nimetoka kitambo sana upande ule wa kwetu..jamaa magari yake yote plates ni za Namibia, funny thing alikua akija na gari kutoka hko mpka mombasa
Kawaida Kuna miezi 3 unaruhisiwa kutumia hizo namba za nchi zingine, baada ya hapo lazima ubadilishe, au upate kibali maalumu cha kuendelea kutumia hizo namba, hiyo ni kwa ajili ya usalama wa nchi, Kama Kenya inaruhusu hizo namba kuendelea "indefinitely", ndio sababu Kenya usalama ni mdogo sana.
 
Yaa
Unataka upewe uthibitisho upi mzee.? Estimation zinasema NAIROBI by 2030 itakua na magari 1.35 million View attachment 2084975while DSM alone ilikua na idadi kama hiyo ya magari 2012 report says 👇View attachment 2084977yani miaka kumi iliyopita DSM ilikua na magari mengi zaidi ambayo yanakadiriwa kuwepo Nairobi by 2030. Hii itakua ni baada ya miaka 18 😂😂😂 Alaf bado unakaza fuvu.?
Yaani wewe unachukua a CCM's politician word unatumia kama fact! hii kama sio ujinga utasema ni nini dogo? 😂 😂 😂 😂 😂 jaribu kudhibitisha maneno ya wanasiasa with facts, usikimbie nazo 😂 😂 😂 ., Now get the statistics across Africa, number of cars to people ratio, that's how it is measured dogo, infact find out the ranking of countries by number of cars to people ratio in Africa, na ujue pia hio sio kipimo cha utajiri necessarily, it is relative though, kwa vile ninapo jua mimi hapa Africa, Liberia ndio inaongoza kwa idadi ya magari to people ratio, yaani kati ya watu 3 or 4 kuna gari in Liberia licha ya uchochole wao.., sasa chunguza na Tanzania kwa hiyo population yenu kubwa, ambapo World Bank imedhihirisha wengi ni fukara wa kutupwa, gari moja linapatikana baada ya watu wangapi..,. chunguza Africa yoote, muache kukurupuka with your blind patriotism na reasoning uchwara...,
 
mm mombasa nimefika, mpaka nairobi kisumu mpaka migori isbania nimefika sehemu sijafika ni lamu na turkana huko ile kwengine huko ww utanidanganya nn nimefika mpaka malindi 🤣🤣🤣
Kufika Na kujua mji Ni tofauti, siwezi kuja kuona Rafiki yangu nikae siku tatu tandale Dar es Salaam halafu nirudi niseme najua Dar.... Information nitapeana itakua wrong sababu akilini nitafikiria Dar yote nikama tandale, utasema unaijua sehemu ambayo atleast umekaa Kwa muda Hadi ukapata nafasi ya kutembea sehemu nyingi Kwa mji Huo
 
Yaa

Yaani wewe unachukua a CCM's politician word unatumia kama fact! hii kama sio ujinga utasema ni nini dogo? 😂 😂 😂 😂 😂 jaribu kudhibitisha maneno ya wanasiasa with facts, usikimbie nazo 😂 😂 😂 ., Now get the statistics across Africa, number of cars to people ratio, thta's how it is measured dogo, infact find out the ranking of countries by number of cars to paeple ratio in Africa, na ujue pia hio sio kipimo cha utajiri kwa vile ninapo jua mimi hapa Africa, Liberia ndio inaongoza kwa idadi ya magari to people ratio, yaani kati ya watu 3 or 4 kuna gari in Liberia licha ya uchochole wao.., sasa chunguza na Tanzania kwa hiyo population yenu kubwa, ambapo World Bank imedhihirisha wengi ni fukara wa kutupwa, gari moja linapatikana baada ya watu wangapi..,. chunguza Africa yoote, muache kukurupuka with your blind patriotism na reasoning uchwara...,
Hizo Gari za 2012 by now labda hata zote zimezeeka ama kupata ajali au kupitisha miaka ya kutumika Barabara I which is usually 8years hivo atoe data nzuri awache Kua duanzi
 
Kufika Na kujua mji Ni tofauti, siwezi kuja kuona Rafiki yangu nikae siku tatu tandale Dar es Salaam halafu nirudi niseme najua Dar.... Information nitapeana itakua wrong sababu akilini nitafikiria Dar yote nikama tandale, utasema unaijua sehemu ambayo atleast umekaa Kwa muda Hadi ukapata nafasi ya kutembea sehemu nyingi Kwa mji Huo
ww mzee sisi tumekuja mara kadhaa sana kenya na tumetembea na kuja na magari binafsi sio basi sasa tunajua na tumeona kwa macho 😁😁😁😁

dar ina km sq 1600 na inabarabara nyingi sana kuliko nairobi + mombasa combined na bado kuna foleni imagine 😁😁😁😁
 
ww mzee sisi tumekuja mara kadhaa sana kenya na tumetembea na kuja na magari binafsi sio basi sasa tunajua na tumeona kwa macho 😁😁😁😁

dar ina km sq 1600 na inabarabara nyingi sana kuliko nairobi + mombasa combined na bado kuna foleni imagine 😁😁😁😁
Tuma hata picha moja umepiga sehemu yoyote Nairobi ukiwa Na Gari yako binafsi
 
ww mzee sisi tumekuja mara kadhaa sana kenya na tumetembea na kuja na magari binafsi sio basi sasa tunajua na tumeona kwa macho 😁😁😁😁

dar ina km sq 1600 na inabarabara nyingi sana kuliko nairobi + mombasa combined na bado kuna foleni imagine 😁😁😁😁
1600 km sq yenye 90% ni makazi na idadi ya watu.., makazi uchwara kila sehemu ama google earth inawaonea? yaani Dar ni kubwa ata kwa Johannesburg lakini hamuwezi kutajwa kwa sentensi moja na Jozi., nyie ni levels za Kinshasa na Lagos.., ukubwa sio issue.., yaani hio Dar imeshinda akina LA na Hong Kong, kwa ukubwa 😂 😂 😂 😂 ata New York ni 783 sq km!.., na Dar 1600sq km!.., double New York., fikra zako ni hovyo sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 kwa barabara umedanganya panya route ndio mingi na ni za vumbi.., Dar can't beat Nairobi on standard roads 😂 😂 😂
 
Hahahaha, kumbe debt sio kitu mzuri, now show Tanzanian media which talks about Kenya's debt, you can't find any
Noo Sisi we were just laughing at hypocrites tukipewa loan wanaskia wivu wanaanza kusema vitu zao za Deni kumbe kisiri wao pia wanataka wajengewe zile infrastructure hehe wanaenda kuomba Deni kisiri halafu wanasema Tunajenga Na pesa za ndani nkt!
 
Back
Top Bottom