Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mm nishawah sema nn mukakataa nyinyi? sikusema matajiri wengi kenya ni politician na ndio owner wakubwa wa lands [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

leo unatembelea hoja yangu
kenya haiwezi kushidana na tanzania kwenye magari ya kibabe hata siku moja huku vijana wadogo unawakuta na mashine za adabu
Wanalipwa vizuri kwhyo kuishi kifahari sio tatizo kwao, upo
 
Sijakuelewa, unachobisha ni kwamba hilo gari sio la mtanzania au ni kwamba hakuna gharama zozote za kulipa Kenya kama gari linatoka nchi nyingine?
Si umesema hapa gari zote foreign kenya si za wakenya , gari kenya ni very expensive but still tuna gari nyingi kuwashinda, gari ya maana kenya lazima ukue na tzs.20m kuendelea
 
Tuonyeshe mbune anayemiliki V8 ya kwake tz
maji marefu 👇👇👇

C9147BA2-C567-42B2-A927-684F6C8CECF7.jpeg
 
heheheheheh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


wakenya oneni aibu bas.. kuna mtu kaeleza story ya cousin wake kufanya kazi bongo .. all of these just to justify kuwa hilo gari “spider” ni la mkenya..
at the end we all know gari ni la Omary Bakhresa (mtanzania) [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si umesema hapa gari zote foreign kenya si za wakenya , gari kenya ni very expensive but still tuna gari nyingi kuwashinda, gari ya maana kenya lazima ukue na tzs.20m kuendelea
Sasa Kenya mpaka uwe na 20 million ndio umiliki gari wakati Tanzania million 3 tu una uhakika wa kupata gari, wapi watakuwa na gari nyingi?

Case ya supercars ni tofauti na unachojaribu kuelezea sababu mwenye uwezo wa kununua Ferrari, ushuru sio issue kwake.

Kenya wengi masikini hamna uwezo wa kushindana na Tanzania lakini hamsikii

 
Back
Top Bottom