komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Wanalipwa vizuri kwhyo kuishi kifahari sio tatizo kwao, upomm nishawah sema nn mukakataa nyinyi? sikusema matajiri wengi kenya ni politician na ndio owner wakubwa wa lands
leo unatembelea hoja yangu
kenya haiwezi kushidana na tanzania kwenye magari ya kibabe hata siku moja huku vijana wadogo unawakuta na mashine za adabu


