Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii yote unapost haisaidii sababu nishàkueleza hizo Kenya zilinunuliwa zote Mara moja kama peremende dukani Hadi wakamaliza stock
lazma uumie nilijua hayo yote 😂😂😂 mm nakwambia huku ziko toka july nyinyi kwenu ya kwanza imeingia december huoni tofaut bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
uheheheh tangu lini kenya ikasema mazuri ya tanzania ni lini na wapi 😂😂😂😂 hvi nyinyi muna adui zaidi ya tanzania
Waseme mazuri wasema mabaya Kuna kitu hakitabadilika..... FACTS kama Ni fact itabaki vile vile nikama Sasa vile Deni ya Tanzania imepanda by $5billion that is 2,308,229,065,800.00 TZS if I do the honors of converting for you. Itabaki vile isemwe Na uzuri au ubaya
 
anamiliki iko wapi?? hebu tuoneshe sasa
Ichoboi bana
images.jpeg-6.jpg
 
Waseme mazuri wasema mabaya Kuna kitu hakitabadilika..... FACTS kama Ni fact itabaki vile vile nikama Sasa vile Deni ya Tanzania imepanda by $5billion that is 2,308,229,065,800.00 TZS if I do the honors of converting for you. Itabaki vile isemwe Na uzuri au ubaya
lini kenya ikasema mazuri ya tanzania lini na wapi???🤣🤣🤣🤣

wewe na IMF nani anajua zaidi???
 
nimemuamgalia moses kurias ni politician pia member of parliament na pia ni businessman mkubwa tu kenya asante bro
Hehehe!!ndio nikakwambia V8 wanasiasa kwetu wanatembelea za kwao upo
We si ilikua wapinga km hawana
 
lazma uumie nilijua hayo yote 😂😂😂 mm nakwambia huku ziko toka july nyinyi kwenu ya kwanza imeingia december huoni tofaut bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nani alisema ya Kwanza iliingia December? December Ni wakati tu Toyota ilicomplain watu wanamaliza Gari hizo Kwa show room Kwa muda was kasi sana
 
Hehehe!!ndio nikakwambia V8 wanasiasa kwetu wanatembelea za kwao upo
We si ilikua wapinga km hawana
mm nishawah sema nn mukakataa nyinyi? sikusema matajiri wengi kenya ni politician na ndio owner wakubwa wa lands 😂😂😂😂

leo unatembelea hoja yangu
kenya haiwezi kushidana na tanzania kwenye magari ya kibabe hata siku moja huku vijana wadogo unawakuta na mashine za adabu
 
Nani alisema ya Kwanza iliingia December? December Ni wakati tu Toyota ilicomplain watu wanamaliza Gari hizo Kwa show room Kwa muda was kasi sana
leta ushahidi iliingia kabla ya december nifunge acc sasa hvi 😂😂😂😂😂 na ukipata nitag nitakukumbusha
 
Back
Top Bottom