chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,685
- 45,933
Hamna pesa masikini wewe 😂😂😂Kumiliki gari kutoka nje naona kw mtazamo wangu ni rahisi sana hta kuliko hapa kenya, manake watu wengi sana wanafanya huo mtindo na bado wanaendelea..
Jamaa ana gari plates za tz karibia zote wakati hko hata nyumba hana, acha tz mpka South Sudan..somalia na ethiopia ndio sijaona ila uganda nimeona wengi sana