Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zitakazokuja ni za aina hii

images (8).jpeg


images (9).jpeg


images (10).jpeg
 
Ya Dodoma ipo Ihumwa inaenda kupitiwa na ring road 4 lanes, ikikamilika itakua hatari na dry port ipo hapo hapo
Unaweza kutuonyesha picha angalau na wakenya washangae.
Hii maanake sgr ikikamilika Mwaka Huu itaanza kutumika kupunguza mizigo kutoka Dar port halafu mizigo wanahamishia Kwenye mgr kwenda DRC, uganda , Rwanda , Burundi
 
Sasa wewe mdanganyika ambaye anakunyua supu ya pweza, kula mtori na kusifu magufuli ni mjanja kuliko world economists ambao wanapima maendeleo ya nchi kutumia gdp/population??
GDP kubwa halafu chakula huna. Yaani tajiri unalala njaa mpaka unaonewa huruma . Use your common sense bro ..... Ushawishi sikia tajiri hawezi afford msosi .... Basic needs food , shelter and clothes ..... Sasa majorities wa kunyan food mpaka mnapewa msaada . Kwenye shelter kuna slum za hatari halafu unasema GDP . Unataka kibogoyo useme umetemewa mate.
 
Tanzania itafikia GDP ya $100b mwaka 2026 kipindi icho Kenya itakuwa na $153B ,vp ilo gape halizibiki Au
Multiplier effect ya nyerere dam ikikamilika ndio mtaona pure economic development . Kukiwa na affordable power supply itaongeza sana uzalishaji kuna matunda , vyakula na vitu vingi haswa perishable goods zinaaribika mashambani kwa kukosa semi manufacturing factories huko vijijini . Bahati mbaya wakulima wa Tanzania hawakati tamaa lakini mazao mengi yana haribikia shambani haswa kipindi bei ikiwa chini . So viwanda vidogo vikipata umeme wa bei nafuu vitaongezeka sana na itakuza uchumi
 
GDP kubwa halafu chakula huna. Yaani tajiri unalala njaa mpaka unaonewa huruma . Use your common sense bro ..... Ushawishi sikia tajiri hawezi afford msosi .... Basic needs food , shelter and clothes ..... Sasa majorities wa kunyan food mpaka mnapewa msaada . Kwenye shelter kuna slum za hatari halafu unasema GDP . Unataka kibogoyo useme umetemewa mate.
Basi kw makaazi gani nyie mliotushinda sisi
 
Uchumi wetu hauyumbishwi mzee, uchumi wetu sio wa kijinga km wa nchi zingine..
Angalia km angola, sai yupo hoi
Uchumi wenu hasa hasa mizizi yake ni ipi?, Uchumi wenu ni WA kubabaisha Sana, mnategemea "remittances" ambazo sio stable source of income"GoK can't plan or control flow of remittances"
 
Uchumi wenu hasa hasa mizizi yake ni ipi?, Uchumi wenu ni WA kubabaisha Sana, mnategemea "remittances" ambazo sio stable source of income"GoK can't plan or control flow of remittances"
Kenya has a market-based economy

Kenya has a mixed economic system that is about 50% free and 50% command.which includes a variety of private freedom, combined with centralized economic planning and government regulation..


A market economy is an economic system where two forces, known as supply and demand, direct the production of goods and services. Market economies are not controlled by a central authority (like a government) and are instead based on voluntary exchange.

Tena umeelewa mzee au bado
 
Back
Top Bottom