Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maoteo ya GDP kwa mwaka huu 2022 kenya $116.6B ,Tanzania $74.5B Hii ni kwa sub-sahara countries,Wakubwa kama Egypt,Algeria,Morocco hawajakua included hapa!!
Screenshot_20220115-182741_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20220115-182737_Samsung%20Internet.jpg
 


Never in doubt
Yaani jinsi nchi yenu ilivyopigika kwa kuiga njia za western kupambana na covid, kampuni nyingi zimefungwa ukweli mnaujua, wafanyakazi wengi wamepunguzwa ukweli mnaujua, hali yenu mbaya inafika mahali hamna hata chakula, kama alivyosema Magu.

Eti leo unashangilia bila kujua kwamba IMF ni wafanyabiashara wanaojaribu kuongopea ma lazy kwamba hata ukope mikopo na ujifungie kama Kenya bado uchumi wako unaweza kukua kuliko nchi ambazo zilikuwa hazikopi na hazijajifungia, ww mwenyewe uliyepost unakataa
 
Hiyo Barabara ina flyover saving this question ndo nikipata MTU atapiga picha anitumie I post Ni vile ain't sure if the place this picture was taken Kwa flyover ama Kwa bridge.... Coz Kando ya bridge sikuona sehemu Gari inaeza park Na Kenyan 001 to address wananchi but proving to you soon
 
Yaani jinsi nchi yenu ilivyopigika kwa kuiga njia za western kupambana na covid, kampuni nyingi zimefungwa ukweli mnaujua, wafanyakazi wengi wamepunguzwa ukweli mnaujua, hali yenu mbaya inafika mahali hamna hata chakula, kama alivyosema Magu.

Eti leo unashangilia bila kujua kwamba IMF ni wafanyabiashara wanaojaribu kuongopea ma lazy kwamba hata ukope mikopo na ujifungie kama Kenya bado uchumi wako unaweza kukua kuliko nchi ambazo zilikuwa hazikopi na hazijajifungia, ww mwenyewe uliyepost unakataa
Kenya ilifunga usiku pekee but all the countries project and the huge companies ziliendelea Na kazi ... And kufungiwa caused Kenya to start practicing self sustainability And people discovered they can produce something's hence vitu vingi we used to source from China zilianza Kua manufactured locally and that will cause our growth to increase. The only thing that might slow us down sahii Ni elections most election period Na ujinga wetu we have chaos but if people conduct peaceful elections and investors wasibabaike we set to grow big....
 
Even people from Ghana know how stupid Tanzanians are. As a matter of fact, the entire of Africa knows Tanzania is a mental institution under guise of "country". An embarrassment to Africa as a whole.

Dunia ilishuhudia Kitendo cha kinyama kufanywa na watu primitive, tribalistic and stupid ever, Kenyans are more than wild animals
 
Kipindi hicho mtakuwa mnanunua umeme, chakula na gesi from Tz
Umeme hatutanunua Tanzania.... Ethiopia has the biggest dams and will be selling to us at veeery cheap prices and there is a campaign by industries to start using solar energy to avoid Kenya power monopoly hence buying from Tanzania is a long shot
 
Lakini other than City Center kuna barabara kubwa Dar ambayo ukitazama majengo yalioizunguka ni majengo mazuri yaliyopangika hivi? Other than CBD na hizo majengo mbili - tatu kando ya Morogoro Road na Bagamoyo road, mimi huona tu uswazi tupu. tuusan ebu tuelezee maanake you're one of the few level headed Tanzanians here.
Fanya ufike DSM acha kujificha Porini uko
 
Back
Top Bottom