Mchina kenya kawafanyia kiini macho kaelekeza macho yao kwenye vitu vinavyoonekana kwa urahisi kama train stations lakini kwenye primary infrastructure ya rail kafunika uozo mtupu.Ya Dodoma ipo Ihumwa inaenda kupitiwa na ring road 4 lanes, ikikamilika itakua hatari na dry port ipo hapo hapo




