Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nipewe uraiyaa pale Musoma na nipatiwe msichana wa Kihaya
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Bora uje unijibu hizi $106B zilienda wapi

Hii ni scandal kabisa lakini wakenya mmeifumbia macho, mna deni kubwa kuliko GDP yenu ๐Ÿค”

Screenshot_20220113-150518.png
 
Duh kumbe we jamaa ni kichwa ngumu mno wewe, hata nikikuonyesha maji utapinga useme ni rangi..

Hizo unaita vumbi ndio service lanes zenyewe hapo zipo U/C, kuna baadhi ya sehem zimeshatiwa lami.. Angalia tena ๐Ÿ‘‡View attachment 2079299View attachment 2079300na kama utabisha na hii, sawa mama kila la kheri.. siwezi endeleza ubishi na chizi unaelazimesha 1+1=15 .. vitu ambavyo vipo clear na unabishia ๐Ÿคฆ
Pia aliekua na wasiwasi na lanes kuwa 12 acheki kwenye design hapa
1642144396073.png
 
Wacha vijisababu vya kifala hiyo barabara sio marked.. ngoja nikuonyeshe mfano wa picha za drone kwa barabara za bongo halafu tulinganishe na huo uchafu wenu, Kenyan road ๐Ÿ‘‡ yenye poda na makeup ๐Ÿ’„View attachment 2079992vs tanzanian road ๐Ÿ‘‡bila poda wa makeupView attachment 2079994ila markings zinaonekana clear kabisa
Wewe ni fala tu. Nawe nionyeshe markings kwenye hili daraja lenu
maxresdefault(18).jpg
 
Daraja la kijiji la muda versus daraja la town lililozinduliwa na Rais ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…



Nyandarua kama Nyandarua ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

10k kilometers za uhuru na $106B zake ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

View attachment 2080310

View attachment 2080313

View attachment 2080314

View attachment 2080316
IMG_20220114_101821.jpg

Are you really that desperate? This is a road in Uganda or Cote d'Ivoire but DEFINITELY not Kenya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Jamaa waliona hizi picha wakahitimisha kwamba ni town yote ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. my dearest brothers and sisters, don't get confused, this is Posta alone ๐Ÿ‘‡View attachment 2080046View attachment 2080047have the closer view ๐Ÿ‘‡View attachment 2080052View attachment 2080053View attachment 2080055View attachment 2080057View attachment 2080058kariakoo ๐Ÿ‘‡View attachment 2080061View attachment 2080062View attachment 2080063View attachment 2080064uView attachment 2080075View attachment 2080076View attachment 2080077panga west ๐Ÿ‘‡View attachment 2080068View attachment 2080071View attachment 2080072, ndio leteni dharau ila heshima ya CBDs zetu tutailinda kwa wivu wote.. hili chizi moja lilikua likijifariji leo ๐Ÿ‘‡

Kuanzia sasa jua kwamba DSM sio ya kuchezea fala wewe
Nilingoja sana u post haya maeneo.., hasira na emotions weka pembeni..,now let me show you Dar.., umecheza na angles ila it is in one place.., one CBD., and some appartments za wahindi na waarabu mjini., ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., Mombasa mwenzenu..,

Same area, pale kwa kona one of the three towers inaonekana kidogo.., sehemu moja tu, mikusanyiko ya vigorofa in one area creating a false illusion, eti kubwa..,
1642145218388.jpeg

1642145290495.jpeg

1642145300831.jpeg

1642145487516.png

Sehemu ya maana sana..,
1642145587844.png


Mombasa ni mwenzenu kaka..,
1642145702967.png

1642145720682.png

1642145837527.png

1642145748508.png

1642145878713.png

1642145762626.png

1642145778225.png

1642145915012.png

1642145799079.png
 
Back
Top Bottom