Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni barabara au bridge, idiot you don't even know sections of Bridge Anchorage kwenye riverbanks

Elimu yenu is the shittiest [emoji706]

Kwahiyo saivi sio flyover tena? [emoji28][emoji28][emoji28]

View attachment 2080221
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lami Gani Tanzania Ina njia za udongo nyingi watch that video utajua Kenya Na Tanzania tofauti


Hiyo barabara Kigoma ipo kwenye ujenzi kilometers almost 400 saivi, sijui unaongea nini, kunyaland nusu ya counties hazifikiki mpaka helicopters, I thought ni counties za jangwani tu ndio hovyo kumbe mpaka Mt. Kenya hakuna lami, sasa kilometers 10k za uhuru ziko wapi? 😅😅😅😅

 
Kwani watu wangapi hungoja Kwa stage nkt? On the roads you find to a maximum of five people or so main stage ndo watu Ni wengi but along the road it's 3 to five people mulitaka wajenge warehouse ama?
Nyinyi hamuelewi lolote kuhusu BRT na ndiyo maana umenijibu kipuuzi namna hii, ckulaumu.
 
Asante kwa render [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Renders can only be posted by those who have them. I don`t expect a Tanzanian to post a render here because they don`t have any.
 
Hiyo barabara Kigoma ipo kwenye ujenzi kilometers almost 400 saivi, sijui unaongea nini, kunyaland nusu ya counties hazifikiki mpaka helicopters, I thought ni counties za jangwani tu ndio hovyo kumbe mpaka Mt. Kenya hakuna lami, sasa kilometers 10k za uhuru ziko wapi? 😅😅😅😅


That was 2020 here is a video from the same area all the roads were tarmacked not the word allhttps://twitter.com/Francis__Kimani/status/1431173591148662786?t=Lyz82C4wt2qIVCMKT1S2nQ&s=19
 
Hiyo barabara Kigoma ipo kwenye ujenzi kilometers almost 400 saivi, sijui unaongea nini, kunyaland nusu ya counties hazifikiki mpaka helicopters, I thought ni counties za jangwani tu ndio hovyo kumbe mpaka Mt. Kenya hakuna lami, sasa kilometers 10k za uhuru ziko wapi? 😅😅😅😅


Naona unahangaika na post za 2020😂😂
 
Anajiona kama kunyata vile anavyowadanganya kajenga kilomita 10k [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haya majitu ni majinga sn, zamani wkt huu uzi unaanza walikuwa wanaongopa kupita maelezo, walikuwa wakipost picha kumi basi ujue saba kati ya hizo co Kenya, walikuwa hawajatujua kamba Watz ndio the most intelligent people in East and Central Africa, walidhani cc ni wazembe kama ndugu zao wanaijeria.

Baadaye wakagundua kwamba hawawezi kutuongopea, so now wamebaki kupost mradi mmoja tu Mana kuiba hawawezi wakiiba au kuongopa ndio tunawaumbua kama hivi, tena huyo Simba ni muongo kupita maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wapi Yule kijana alikua analia about estates? chongchung was it you? Kuja are you ready for an estate battle? As I told you I do just Nairobi wewe uchanganye Dodoma na Dar Na Mwanza
 
That was 2020 here is a video from the same area all the roads were tarmacked not the word allhttps://twitter.com/Francis__Kimani/status/1431173591148662786?t=Lyz82C4wt2qIVCMKT1S2nQ&s=19
Naona unahangaika na post za 2020😂😂
Kitendo cha kutafuta ukweli tu, Jeeeeeez 😂😂😂😂😂

Nyandarua ipo juuu 🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣

Wapunguze kunyanduana wapate lami 😂😂

Screenshot_20220114-090619.png
 
Haya majitu ni majinga sn, zamani wkt huu uzi unaanza walikuwa wanaongopa kupita maelezo, walikuwa wakipost picha kumi basi ujue saba kati ya hizo co Kenya, walikuwa hawajatujua kamba Watz ndio the most intelligent people in East and Central Africa, walidhani cc ni wazembe kama ndugu zao wanaijeria.

Baadaye wakagundua kwamba hawawezi kutuongopea, so now wamebaki kupost mradi mmoja tu Mana kuiba hawawezi wakiiba au kuongopa ndio tunawaumbua kama hivi, tena huyo Simba ni muongo kupita maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyinyi hamna mradi mpya kazi kupost tu miradi yenyu tatu tu hata picha mpya hamna Kenya right now is a construction site more than 200 projects going on from dams, roads, markets and the like Na hutaskia zikipigiwa kelele hata Sisi wenyewe hushtuka zikiziduliwa
 
Haya majitu ni majinga sn, zamani wkt huu uzi unaanza walikuwa wanaongopa kupita maelezo, walikuwa wakipost picha kumi basi ujue saba kati ya hizo co Kenya, walikuwa hawajatujua kamba Watz ndio the most intelligent people in East and Central Africa, walidhani cc ni wazembe kama ndugu zao wanaijeria.

Baadaye wakagundua kwamba hawawezi kutuongopea, so now wamebaki kupost mradi mmoja tu Mana kuiba hawawezi wakiiba au kuongopa ndio tunawaumbua kama hivi, tena huyo Simba ni muongo kupita maelezo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba aka ngedere Muongo sana nakumbuka alipost hili jengo kwenye battle ya hotels akasema lipo kunyaland 😂😂😂😂

images - 2022-01-14T091136.448.jpeg
 
Back
Top Bottom