Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nna shindwa sana na wewe mpunga. iweje hasa una expect nairobi sawa tu na beijing iliomo vizuri sana ndani ya nchi kavu iwe na bridges.. bridges ya nn.? kila muundo msingi huku ina sababu na sio monument ama maridadi
So Kenya nzima haiitaji bridges
 
Sema tu hakuna. Hautapigwa Kijana wa Tandale. Sisi huku zinapatikana hadi vijijini Mbita kule south Nyanza
C ndio hii hapa interchange ya mbita?
JamiiForums601365992.jpg
 
Mimi huyo.? 😂😂, Wewe ndio ulileta picha na ndio nazitumia kama silaha.. kama vijisababu vyako ni drone nimekuinyesha picha mbili zote zimepigwa kwa drone 👇View attachment 2080008vs 👇View attachment 2080009lakini picha moja inaonyesha barabara yenye iko marked na nyingine haiko marked .. au nasema urongo.? Usiniletee picha za zamani naakati current photos zipo bhana
Kwani muna barabara moja tu?
 
😂😂😂 Ajabu kweli, station mbili.? Ndio BRT au.? buses ziko wapi.? BRT stands for B=BUS R=Rapid T=transit.. ila wewe umenionyesha vituo viwili then una claim kwamba mko na BRT 😂😂 HEB osha matako ukalale uko
Nyinyi sgr nionyeshe trains
 
Dah Haina kitu kuingine isipokua this? Day in day out this all you guys be posting everybody no new thing being developed no new project? Tumechoka Na saaame saaame pictures style up kidogo no competition here
 
Jamaa ni waongo sn, kidaraja wamekipiga picha upande upande zen wanaongopa ni flyover alafu wasenge wenzie wamekaa kimya tu mbwa hawa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Yaani ndio hivyo hawa mbwa walivyo, wapo kama nyumbu mwenzao akiweka ushubwada wanasapoti wote hata kama ni fix tofauti na sisi, uweke kitu sio wabongo lazima wakunange ila wao full uzumbukuku

Hawawezi kuhoji ndio maana kunyata kakopa $106B lakini hakuna wa kuhoji, kawadanganya kajenga kilometers 10k za lami lakini nusu ya counties zao hazifikiki kwa lami 🚮🚮🚮🚮🤣
 
Limezidi mpaka GDP yao lakini ukiangalia pesa yote hiyo wamefanyia nini huoni kabisa na walivyo makondoo wala hawahoji, bado wanadanganywa, uhuru anawadanganya kawajengea kilometers 10k za lami, meanwhile wana counties kibao hazina lami.

Tanzania ni kubwa mara 2 yao lakini mikoa yote inafikika kwa lami, tena kuna mpaka mikoa mingine ina route zaidi ya 1 ya lami kuingia na kutoka.
Lami Gani Tanzania Ina njia za udongo nyingi watch that video utajua Kenya Na Tanzania tofauti

 
Back
Top Bottom