Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FHN9I77XMAsH-K9.jpeg

MK2 Tony254 Teargas KENPAULITE Nicxie komora096
tuusan Geza Ulole babayao255 ichoboy01 game over
 
anaforce thika iwe 12 wakat wao wenyewe wanajua ni 8 lanes 🤣🤣🤣🤣🤣

na mushajua kwann wana force kwasababu tayar washapata mpinzani wa 8 lanes tayar 😂😂😂😂
Wewe unaona lanes ngapi zinatumiia hapo start counting and iko hivo from Start to finish wewe Na nduguvyako The best 007 huwa mnapenda tu propaganda za uwongo the service lanes hazi ishi Mahali but they go all the way they are not intersections or acceleration lanes
images (59).jpeg
images (58).jpeg
 
Kenya ndio nchi pekee umeme unakatika Nchi nzima kwa siku mbili na hakuna dalili ya kurudi..

Kuna ule mjadala kuhusu Ubora wa Elimu kati ya Tanzania na Kenya pamoja na Idadi na Ubora ya Mainjinia...

Mkenya anayebisha Kenya umeme haukatiki zaidi ya siku 2 anitag
We Ni mjinga 3hours ndo unaita 2days nkt
 
kwann unaweka picha kwenye makutano ili ionekane ni 8 lanes au unafkiri huo ujanja sisi hatuujui 😂😂😂😂😂😂 nitakuumbua kua makini
Hakuna kwenye makutano the outside lanes go all the way they are not feeder roads Kuna six lanes each side then Kuna feeder lanes karibu Na junctions
images (58)~2.jpeg
 
Most people have stopped crying in tweeter atleast they started seeing things from a positive point of view
 
Back
Top Bottom