Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asa hii barabara yenye BRT Kimara Kibaha hujui kama Kibaha ni Pwani mkoa Mwingine tofauti na Dar?
Sasa nkuulize hivi, dongo kundu kule BRT una wapeleka watu wapi..
Ukinambia brt mombasa-mtwapa(kilifi county) ipo reasonable ni sasawa na brt nairobi-thika(kiambu county) inaeleweka lkn sio BRT nairobi-muranga

JamiiForums mobile app
 
1641839334463.png
 
Nilikuwa nasubiri unithibishie kwamba ni mkenya ili niondoke jamii forums, lkn kwa sababu umeshindwa basi nitaendelea kuwa mwanachama mtiifu wa jamii forums.
I said "a son of Kenya". But it's my fault. I expected a troglodyte to understand basic English
 
Acha ku compare mimba ya Panya na ya Tembo kijana.

Hiyo diesel yenu ni cheap na haina technology kubwa kutengeneza. Sourcing ya material kafanya mchina kapulizia rangi tu vitu wameng'oa kwenye reli zao huko Waka dump hapo kunya land.

Unlike TZ SGR which use sophisticated technology with high tech skills. Also sourcing are from world renowned suppliers. So you can't compare those two.

Sent using Jamii Forums mobile app
ebu taja hizo 'technologies' ambazo zimetumika kwa SGR ya Tz zanye hazikutumika ya Kenya.
 
Transformation of Mobius.

Mobius 1
Mbona hawanunui mobius
Gari yenyewe inatoa 86 horsepower at 5500 rpms, wakati Mk1 Golf (Volkswagen ya 1970's) yenye engine ndogo kuliko hiyo (Mobius 1) inatoa horsepower karibu sawa at only 3000 rpm. Sasa hiyo ni gari au mkokoteni? Hii takataka ukiipandisha mlima kitonga, cylinder head ita "warp" na engine kuchemsha, safari inaishia hapo hapo.
 
Gari yenyewe inatoa 86 horsepower at 5500 rpms, wakati Mk1 Golf (Volkswagen ya 1970's) yenye engine ndogo kuliko hiyo (Mobius 1) inatoa horsepower karibu sawa at only 3000 rpm. Sasa hiyo ni gari au mkokoteni? Hii takataka ukiipandisha mlima kitonga, cylinder head ita "warp" na engine kuchemsha, safari inaishia hapo hapo.
Ndiyo maana hata Wakenya hawanunui
 
Back
Top Bottom