Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

imagine sasa hapa ni dar vs mombasa.. ata mmenda mbali sana, ingefaa mwanzo tuanze na dar vs kisumu

Kisumu yenyewe sasa
IMG_8740.jpg
 
Kwhyo kassim majaliwa alikuwa mpumbavu kutangaza km by 2019 kitu kitakua kimeisha watu tayari kukitumiaee..

Manake haiwezekani hyo technology asiijue eti uje uijue wewe zee la mihogo na viazi rojo
JamiiForums mobile app
Wewe wakisha kukopa utam huko unaparamia tu watu hovyo hovyo.

Sasa hapo unaleta hoja gani? Kwamba teknolojia ya reli yetu Sio kubwa na ya kisasa zaidi kuliko yenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ya illiteracy, low IQ na mfumo duni wa elimu, mwanaume mdanganyika ni wakudanganywa tu kisha anatokwa. Kudos to smart Kenyan ladies.
Screenshot_20220111-080954.jpg
 
Budaa, kama umeshindwa ku notice kitu obvious kama hicho kwamba TZ ni high tech and complex kuliko your diseal railway line bhas naamini hata tukimuweka Tembo katikati ya uwanja wa Kasarani unaweza usimuone pia.

Muone daktari, uko kwenye stage mbaya. On critical denial.. You can't grasp the truth.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza swali simple, what are those 'technologies' that were used on the Tz SGR that were not used on the Kenyan one. Mbona unashindwa kujibu swali simple hivi?
 
Tanzania trains are full automatic(it can run without a driver), the speed of the train can be increased or decreased from control center in Dar es Salaam, the railway is continuous welded
I'm talking about the SGR, not the train. Your trains are not here yet, we can't talk about non-existent things. Mbona mnakuwanga mambumbumbu kwa kuelewa hivi?🚮🚮
 
Naona umejumlisha njia za kuingia na kutoka, na service roads
service road ni part of the road my brother, kila lane hapo in jina lake ....hiyo barabara ni almpst 50 kilometers hivyo ni lazima iwe na muundo wa kiaina hiyo.........service road imeamabatana nayo moja kwa moja...yaani kama alivyosema baba levo...mna miaka kama 25 mfikie nairobi
 
Nimekuuliza swali simple, what are those 'technologies' that were used on the Tz SGR that were not used on the Kenyan one. Mbona unashindwa kujibu swali simple hivi?
I can't believe we are still having this conversation.

What's the standard of your railway line? Let's begin with that first. "Chinese class one" and Arema standard are two different things my fren.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great, what are the specs for the fuel system? Is it something you created from scratch or you incorporated other systems like Bosch Motronic?

We're not interested in obsolete technologies, ours will be electric, which is more efficient as torque is directly transferred into the wheels.
Ha! Ati obsolete yet those are the cars that dominate the market today 😂😂. I bet your roads are full of EVs and not cars with "obsolete technologies" 😂😂😂😂.
But of course you're not interested. How can you be interested when you don't even have the intellectual capacity to build a gas powered car.
 
Back
Top Bottom