Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya GDP $106B VS Tz GDP $65B the difference is $41B Hii pekee inatoa picha tunayo kazi ya kufanya watz. Tukope tumalize miradi ya kimkakati labda inaweza badili hali ya uchumi kwa siku zijazo...let's hope tunaweza close gape apo baadae ...

Naona uwekezaji ukipaa sambamba na utalii...sijui kama inaweza punguza gap kwa kiasi gani
Kwa kweli tunanyata sana kwa hiyo GDP
 
Kwa kweli tunanyata sana kwa hiyo GDP
GDP haibadiliki licha ya kuonesha uwezo mkubwa wa kufanya miradi mikubwa na ya gharama ndefu, tuko pale pale kwenye 60s, don't you smell something fishy on this?
Screenshot_20211230-195705.jpg
Screenshot_20211230-195747.jpg
 
GDP siyo kipimo halisi cha maendeleo ukae ukijua hilo kwanza.
ona... kenya population 47m for $109B gdp.
tanganyika 61m for $65B.. hatuwezi kua level moja ata kwa dawa.
per capita ni $2,300 vs $1,100 (NB: kenya tunaelekea Upper Middle Income Economy) ilhali tanganyika itabaki kua Lower Middle Income till 2050
 
Ndiyo mjue kwamba GDP ni upumbavu tu, sema Wakenya hamna akili thus y mnashindwa kuelewa kwamba hapa ni kama mna substantiate tunachosema.
leo nimekua Gikomba.. wah!. nimeshangazwa sana vile watanganyika wameongezeka huku maradufu.! hapo nyumae hawakua wengi hivi... its high time gov't ifanye jambo. i fully concur with MP. jaguar kanyi. watanganyika kibao tu sana! and especialy wa Chagga 🤔. mbona wasiende zambia ama mozambique. mbona kenya. size of economy ndio hoja kuu hapa
Screenshot_20211231-150525_Earth.jpg
 
ona... kenya population 47m for $109B gdp.
tanganyika 61m for $65B.. hatuwezi kua level moja ata kwa dawa.
per capita ni $2,300 vs $1,100 (NB: kenya tunaelekea Medium Income Economy) ilhali tanganyika itabaki kua Lower Middle Income till 2050
Mbona unahangaika mno na idadi ya watu? Unatafuta nini kwenye idadi?

Maana ya GDP unajua? Mauzo yenu 80% ni chai na maua na vyote hivyo vinalimwa na mzungu kwa 90% ambao hawazidi 20k Kenya nzima, sasa unachohangaika na population ni kipi?
 
Back
Top Bottom