Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

media ya kenya ndio imesema hvo lakini rais hakusema ni phase ipi atakopa 😂😂😂 na probably kwa maelezo yake ni phase 4
Ungesoma hiyo taarifa haungeandika huu upupu. But again, you wouldn't have understood anything even if you read the article a million times. Nimesahau kiingereza ni kizungumkuti kwako
 
Ungesoma hiyo taarifa haungeandika huu upupu. But again, you wouldn't have understood anything even if you read the article a million times. Nimesahau kiingereza ni kizungumkuti kwako
mm ndio nakueleza sasa pesa iliokopwa 1.4b ni kwa ajili ya phase two morogoro to dodoma na part paymeny nyingine imelipwa na serekali kukamilisha 1.9b usd
kwa maana hio serekali imetoa 500m usd

tatizo lako ww hupendi kusikia tanzania inatumia pesa zake kwenye maendeleo yake

na mkopo ukivhukuliwa 2019 wakat SGR imeanza 2017 phase one 😂😂😂
 
mm ndio nakueleza sasa pesa iliokopwa 1.4b ni kwa ajili ya phase two morogoro to dodoma na part paymeny nyingine imelipwa na serekali kukamilisha 1.9b usd
kwa maana hio serekali imetoa 500m usd

tatizo lako ww hupendi kusikia tanzania inatumia pesa zake kwenye maendeleo yake
Bongolala, you should b able to read and understand, sip kupayuka tu. Rais wenu amesema atakopa pesa Kutoka uturuki, wewe bado unakwamilia story ya Standard chartered, loan ambayo mlishapewa tiyari kufikisha reli porini. Soma hii taarif ujue Rais wako anaongelea nini kabla ya kutoa povu

This is a contract that was signed two days ago
 
Tundu Lissu mbona alienda exile baada ya uchaguzi. cheza na jpm uone ⚡⚡
Ila nyie mezidi, tabia za baa au grocery ndio zipo bungeni kwenu! Au usikute viongozi wenu badala ya maji wanakunywa chang'aa bungeni
 
Bongolala, you should b able to read and understand, sip kupayuka tu. Rais wenu amesema atakopa pesa Kutoka uturuki, wewe bado unakwamilia story ya Standard chartered, loan ambayo mlishapewa tiyari kufikisha reli porini. Soma hii taarif ujue Rais wako anaongelea nini kabla ya kutoa povu

This is a contract that was signed two days ago
Hii ni contract nyingine Acha kubishia vitu usivyovijua .. reli yetu iko na 4 phases U/C, 1st phase ni serikali ndio ime finance, 2nd phase loan+gvt, 5th phase ni loan na 3rd phase ni loan pekee (hii ndio imekuwa signed juzi) .. acha kulazimisha mambo dadaangu
 
Bongolala, you should b able to read and understand, sip kupayuka tu. Rais wenu amesema atakopa pesa Kutoka uturuki, wewe bado unakwamilia story ya Standard chartered, loan ambayo mlishapewa tiyari kufikisha reli porini. Soma hii taarif ujue Rais wako anaongelea nini kabla ya kutoa povu

This is a contract that was signed two days ago

ase.. contract tu povu kubwa hiv? mzigo ukianza kutembea si utajinyonga kwa kushikwa na uchungu wa wivu
 
Bongolala, you should b able to read and understand, sip kupayuka tu. Rais wenu amesema atakopa pesa Kutoka uturuki, wewe bado unakwamilia story ya Standard chartered, loan ambayo mlishapewa tiyari kufikisha reli porini. Soma hii taarif ujue Rais wako anaongelea nini kabla ya kutoa povu

This is a contract that was signed two days ago


Bongolala, you should b able to read and understand, sip kupayuka tu. Rais wenu amesema atakopa pesa Kutoka uturuki, wewe bado unakwamilia story ya Standard chartered, loan ambayo mlishapewa tiyari kufikisha reli porini. Soma hii taarif ujue Rais wako anaongelea nini kabla ya kutoa povu

This is a contract that was signed two days ago
from makutopora to tabora
rejea hapa kwanza 👇👇👇🤣🤣

dar to moro 1.2b from gvt of tz
morogoro to makutopora singida 1.4b loan and 0.5b from gvt
mwanza isaka 1.5b from gvt of tz
makutopora to tabora loan


yes nani amekataa rejea hapo juu😂😂😂
 
Back
Top Bottom