babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Sasa za Tanzania zikianza kufanya kazi si watakimbia humu!wanaona wenzao wanakwenda mbele wao wanarudi nyuma miaka 100![]()



Sasa za Tanzania zikianza kufanya kazi si watakimbia humu!wanaona wenzao wanakwenda mbele wao wanarudi nyuma miaka 100![]()



Farms zetu zipo TanganyikaTukiomba avocado 🥑 farm zenu tuzione, mnaleta domo tupu 😂😂😂
Kumbe wewe ni mzee mwenzangu, chai maharage zilikuwa zikipiga breki ghafla abiria wote mnalalia upande wa mbele.kumbe wakunya mnavijua vipanya
da hizo taka taka zimenikumbusha dar es salaam ya 1993 to 1996,kabla ya hapo pia kulikuwa na gari tunaziita "chai maharage" sijui kenya zipo hizo
Kumbe wewe ni mzee mwenzangu, chai maharage zilikuwa zikipiga breki ghafla wote mnalalia upande wa mbele.
matusi unayajua vizuri eti😃😃😃 hongera SanaLamba lolo nanii![]()
🤣🤣🤣🤣Yani wewe komora cku ukiingia 18 zangu nitakupiga mkuyenge mpk utaomba poo.
Wivu Sana hao wakenya, hawataki maendeleo ya nchi yoyote hapa AfricaHizi treni mpya ya Senegal mbona imeibua vilio vya wakunya kule Twitter na Facebook sana!![]()
Kuavoid a sharp slope.WHY..?!! Hebu tujibuView attachment 2062077
Hizi avocado % kubwa zinatoka Tz, ila kwa sasa tunauza wenyewe, so itafaamika tu.
Hivi vi farm viwili vitatu ndiyo vinafanya muongoze Africa? Unawazimu wewe, subiri kidogo tu itafaamika cz kwa ss tunauza wenyewe.Farms zetu zipo Tanganyika
Sasa unalia nn? Ukweli ni kwamba hii reli kuna phase tumejenga kwa pesa za ndani na phase nyingine ni mkopo, shida ni kwamba mnataka tufanane kitu ambacho haitawahi kutokea, nyinyi ile upgraded MGR yote mmejengewa na wachina, cc uchumi wetu ni mkubwa na hauna madeni kama uchumi wenu wa mkopo na ndiyo maana tunasema Tz ina uchumi mkubwa kuliko the failed state.Sisi tunajenga kwa hela zetu![]()
![]()
![]()
Tanzania signs $1.9 bln railway contract with Turkish firm
President Suluhu Hassan said Tanzania would borrow to finance the project.www.the-star.co.ke
Hahaaa!!kwhyo umelubali km walikufaWangapi?![]()
Ndio nimekuuliza wangapi?, Ninategemea hawatozidi "zero"Hahaaa!!kwhyo umelubali km walikufa




Km kuna jamaa ni tahira hapa jf basi wewe nambari moja, yani una copy na ku paste bila kuangalia km unaleta nn aiseeHata Rwanda inawashinda hawa mbwa, ona usafiri wa kistaarabu kule Rwanda.View attachment 2062285
*****!!muuwaji jiwe alifikiria yeye ataishi mileleNdio nimekuuliza wangapi?, Ninategemea hawatozidi "zero"![]()
Kwn we kupigwa vitu ni mambo yako, hongera basiYani wewe komora cku ukiingia 18 zangu nitakupiga mkuyenge mpk utaomba poo.