😆😆😆😆😆😆
Low IQ on display.,😂😂😂😂😂😂😂😂😂 napitia pitia uzi naona vile nyie maboya mnajiliwaza tu.., ngojeni 25 years nani😂😂.,Maendeleo gn mliyonayo? Mpk leo nchi haina modern public transport, haina cable stayed bridges, haina electrified SGR wala haina reliable source of electricity, mmeendelea nn ss au block flyovers na vile vi apartments cheap vyenye bati nyekundu juu![]()
Same distance from Dar haupati anything such level., kwa Kenya mtangoja sana, pengine Domo domo na Kiswahili, hapa jibu to level exactly hamna😂😂😂😂😂.,yes arthi river in machakos county kama nimekosea niambie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hio inabeba treni kabisa kuelekea uganda mm sitak utumie hasira kunijibuTwo years ago meli ya MV Uhuru ilikua ishaanza kazi ya kupeleka mafuta kutoka Kenya hadi Uganda. Nimedhani hata unanionyesha video ya meli ikiwa kazi. Wacheni tabia ya kupayuka. 😂😂😂
sasa umekasirika mm kusema ukweli 🤣🤣Same distance from Dar haupati anything such level., kwa Kenya mtangoja sana, pengine Domo domo na Kiswahili, hapa jibu to level exactly hamna😂😂😂😂😂.,
mm sitaki upate shida 😂😂👇👇👇Two years ago meli ya MV Uhuru ilikua ishaanza kazi ya kupeleka mafuta kutoka Kenya hadi Uganda. Nimedhani hata unanionyesha video ya meli ikiwa kazi. Wacheni tabia ya kupayuka. 😂😂😂
huo ni utamaduni wa zanzibar kama ulivokua utamaduni wa lamu kupanda punda na utamaduni wa mombasa kupanda tuktuk na utamaduni wa kisumu kupanda baiskeli![]()






Na utamaduni wa Nairobi kupanda Malori ya mizigo .haswaaa alaf wameridhika kabisa 😁😁Na utamaduni wa Nairobi kupanda Malori ya mizigo .
Kama watz ni wavivu mbona twawalisha mpaka vingine mwauza nje ya nchi na kunifanya mnazalisha Kenya eg,parachichi.wazungu makapitale ndio wanawafichia aibu.Sawa heri... mchina na kichina chake..amepiga hatua.. nyinyi na uswahili wenu ni umaskini tu na uvivu...
Hivi hiki ndo Kipande kigumu kuliko chote ?chenye milima ...?maana naona bei almost sawa na Makutupora- Moro
Sio lazima iwe ufisadi per se...inawezekana kweli kuna hela italiwa even millions of dollars ....ila sio ya kuongeza 1 trillion nzima....Mwenye macho haambiwi tazama
JPM alikua ndio mkali wa hizi kazi, kutoka Makutupora kwenda Tabora ni plain ground hakuna geographical obstacles kama za kutoka Morogoro kwenda Makutupora lakini angalia kiasi cha pesa kilichotumika kujenga na hiki cha sasa
NB Yarpi ni mkandarasi mwenye vifaa site tayari
Ufisadi???
View attachment 2060513
To be honest sijawahi kuyapenda haya makitu kwanza nayaona yako very mascular!!!, kuna kipindi nikiyatazama huwa nayafananisha na mnyama dinosaur!!!Hapo bado kelele ya muziki ndani!!!!Unaweza ukawa kichaa ujue!!!![]()