Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiongee usichojua. Hizo kodi kwenye hizo nchi zinakusanywa na kampuni za kibinafsi zilizojenga miundo mbinu hizo na kodi hizo zinaenda kwenye kampuni hizo za kibinafsi. Soma zaidi au tembea zaidi utaona ninachosema.
kampuni binafsi za nchi zao sio za nchi zingine mark my words 😂😂😂 hamuna hata pesa ya kujenga reli km 5 imagine
 
Dead on arrival🤣🤣🤣
FG4MQ9eXoAUJS5d.jpeg
 
nimemuona NairobiWalker kapost kua kwann serekali inajihangaisha na Air tanzania sasa alikua hataki serekali ifufue airtanzania au lengo lake ni nn?? na biashara y ndege huwez tegemea faida ndani ya miaka miwili haliwezekani 🤣🤣🤣🤣🤣 yani wakenya wanakereka kuona ndege zinanunuliwa tena cash deal

leo hii kq inamiliki ndege tatu chakavu na hasara ambayo serekali inapoteza tax payers money kulipa ndege za kukodi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom