Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

apa n wapi?
images - 2021-12-21T134627.882.jpeg
 
Umekimbilia uku.? 😂😂😂 Ila nimekupa kichapo bwana
Ni kuandika tu kwa Kiswahili mufti ndio unanishinda pekee.., mengine ni domo domo tu., no supporting evidence, lazima ulazimishe unacho post na vijimaneno, haviwezi kusimama bila maneno 😂 😂 , nimekuzoea na nimekuelewa kabisaaa 😂 😂 😂 😂., ngojeni miaka 25 mje..,
 
Naongezea na hawa

Alhaj Profesa Sir joto la jiwe, Naton Jr

xng hua eliakeem fundi wa modern photos engineer NDINDA mzee wa kufukua babayao255 kizazi kipya Sama boy 255 silent killer chongchung mzee wa kumaliza game over kiboko ya wakunya mwenyekiti wa battle sheikh ichoboy01 Katibu mkuu wa battle a.k.a the encyclopedia Geza Ulole list itaongezwa
Yaani mibongolala zaidi ya 20 ina battle na wakenya less than 10, but tunawanyorosha na facts mnabakia tu na domo domo na propaganda kujiliwaza, kwanza wewe, bora tu uandike fikra zako ilimradi tu ujifurahishe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , ata mkileta taifa nzima ya Danganyika mje humu, tutawanyorosha na kuna wenzenu pia watawaumbua, hamjawataja naona 😂 😂 ., hamuwezi kubadili ukweli na kiswahili chenu bana, facts scream louder than words idiots 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , hadi raha, leteni taifa yote humu tuwanyooshe kwa ujumla 💪 💪 🔥 🔥 🔥 🔥 😂 😂 😂 😂 😂
 
Yaani mibongolala zaidi ya 20 ina battle na wakenya less than 10, but tunawanyorosha na facts mnabakia tu na domo domo na propaganda kujiliwaza, kwanza wewe, bora tu uandike fikra zako ilimradi tu ujifurahishe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , ata mkileta taifa nzima ya Danganyika mje humu, tutawanyorosha na kuna wenzenu pia watawaumbua, hamjawataja naona 😂 😂 ., hamuwezi kubadili ukweli na kiswahili chenu bana, facts scream louder than words idiots 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , hadi raha, leteni taifa yote humu tuwanyooshe kwa ujumla 💪 💪 🔥 🔥 🔥 🔥 😂 😂 😂 😂 😂
Hawa jamaa hapa ndani wako kama 40 ivi lakini wanaomba thread ifutwe vile tunawapeleka mbio kama wezi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom