Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afrika bora mzungu angechelewa kuondoka kwenye baadhi ya mataifa


barabara-768x432.jpg

Kwamba na mimi nilete barabara za hivi hapo Kunyaland ?
 
hiv kama wanatafuta mikopo ili kujenga SGR, miradi ya maji.. viongozi hawawez kuomba mikopo kujenga sports infrastructure? ROI inaweza isiwe kubwa lkn kuwa na great sports infrastructure ina faida nying sana

.. kama wameweza kuomba more than $3b for either SGR or JNHPP.. hatuwez kuomba hata $700m tujenge Stadiums kubwa 3, International Swimming pool moja au mbili na Indoor arenas mbili and others.. hapa nimeorodhesha vitu saba assuming kila moja itacost at most $100m kwa $700m watakazoomba.. but I believe 700m can build more than seven mega sports infrastructure. na wachina kwenye miradi ya infrastructures ndo nadhan wako wepes kutoa hio mikopo
 
hiv kama wanatafuta mikopo ili kujenga SGR, miradi ya maji.. viongozi hawawez kuomba mikopo kujenga sports infrastructure? ROI inaweza isiwe kubwa lkn kuwa na great sports infrastructure ina faida nying sana

.. kama wameweza kuomba more than $3b for either SGR or JNHPP.. hatuwez kuomba hata $700m tujenge Stadiums kubwa 3, International Swimming moja au mbili na Indoor arenas mbili and others.. hapa nimeorodhesha vitu saba assuming kila moja itacost at most $100m kwa $700m watakazoomba.. na wachina kwenye miradi ya infrastructures ndo nadhan wako wepes kutoa hio mikopo
Mkuu, Kuna vyama vingi vya michezo mbali mbali na mabaraza ya michezo. Viongozi hawawezi kuandaa proposal nzuri Kwa ajili ya financing ya miradi kama hiyo?

Serikali ikae tu pale kama guarantor. Ni ajabu vyama vya michezo kuwa omba omba na kutegemea fungu la serikali kujiendesha. Lazima wabuni namna ya kuweka vitega uchumi na kujitegemea. Michezo ni biashara na uwekezaji. Viongozi bado wako kwenye thinking ya michezo ya ridhaa na kujenga afya.

Hayo yako ndani ya uwezo wao kabisa. Ni wao kujipanga vizuri. Wakilelewa sana kila kitu serikali wanalemaa. Kwanza hata Chama tawala wangekuwa na mkakati wabinafsishe viwanja vyao kama wanashindwa kuvihudumia. Watu wawekeze viwe vya kisasa wagawane hela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana kaka!!!ina maana haya magari yakipata alternative roads tu kadhaa foleni itapungua sana!!!
Sijui kwa nini tunasua kujenga outer ring roads yaani ukiangalia kwny budget ni moja tu ambayo iko kwny pipeline na inapangiwa pesa ndogo sana!!! bado kuna kama mbili zaidi moja proposed ikijumuisha na wilaya ya Kisarawe!!!!Tuko slow sana kwa hili!!!
 
Back
Top Bottom