Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

serikali yao imepiga marufuku kupost picha halisi .....wakifanya hivyo ni kosa la jinai kwao .......nairobi bila photo editor nothing,nairobi bila kutegea angle nzuri yakupiga picha ni kesi......siunajua picha za jiji ni mali ya serikali hivyo wametengeneza deal na google
hii habari ni kweli comrade?.

ni agharab kupata picha za slums za kenya kwenye mtandao zilizowekwa na mkenya.

picha za kibera na mathare karibia zote zinawekwa kwenye public domain na wazungu.

wengi wa hawa wazungu ni wale wanao endesha au kusimamia NGO za misaada ya kiutu katika maeneo hayo.
 
kenyans are right,Nairobi is great,you can tell that by looking at these beautiful buildings below.this is Nairobi guys.

6369f67c6d824abfad23f31277324168.jpg
0791b9b89384d821137704bade926904.jpg
hii ni nyali au?kama ni dar basi ntaipambanisha na nyali
 
we waropoka nni na nakumbuka ulikurupuka hivihivi ulipoifananisha msa na mwanza...ukapotea kabisa baada ya aibu
Nasubiri kuona picha ya nyali ya kuanzia gorofa 10 kwenda juu 😀😀😀😀😀😀😀
Ctaki blah blah nataka picha
 
Back
Top Bottom