Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumeshikilia makontena 277 yanadhahabu na almasi wao pia wanajua ndio maana wamekuja kujadili😀😀😀😀😀😀
Kama nyie munawaogopa whites basi hapa wamefika🙂🙂🙂
Who said about kuogopa whites, the reason y the came running is because you made them become international headlines sasa wameleta top guns hope mmeleta top guns too

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond amefungua kampuni yake
😀😀😀😀😀😀
20170731_214039.jpg
 
hii habari ni kweli comrade?.

ni agharab kupata picha za slums za kenya kwenye mtandao zilizowekwa na mkenya.

picha za kibera na mathare karibia zote zinawekwa kwenye public domain na wazungu.

wengi wa hawa wazungu ni wale wanao endesha au kusimamia NGO za misaada ya kiutu katikamaeneo hayo.
yah......itakuwa ni ivyo lazima maana ingia kwenye google photo za kenya utagundua kuwa serikali yao imefanya cha ziada kushirikiana na google....
 
kumekucha kenya.
wakenya waanza kutoleana lugha za ubaguzi wa kikabila baada ya kifo cha utata cha boss wa IEBC ICT chris msando.
3dbc1c5e34fd66b8741543aa7533f9d6.jpg
dc9e81765d9a5406ee36e8d2d7dcf289.jpg
eefeb2387c19af446b6bac3e567bd0cd.jpg
 
Back
Top Bottom