Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kisumu dala. home of barrack obama
IMG-20211025142731.jpg
202803776_290756742739747_3690322331552721686_n.jpg
DfzelUbX0AAtSaP.jpg
 
Jamaa ana chuki zake binafsi kwa SSH.

Maana juzi nimepita Dodoma nimeona ujenzi wa matuta ya kutandika mataluma inaendelea kwa kasi nguzo za kupitisha nyaya za umeme kwa ajili ya reli zimeanza kuwekwa baadhi ya sehemu pia ujenzi station unakaribia kuisha.

Nikipita tena Dodoma nitapiga picha.
Hawa ndio wanalalama mafisadi wamerudi ukimwuliza tupe mfano utasikia si "unaona mwenyewe" manji aneridi unamwuliza nani alimfukuza manji Tanzania na nani alithibitisha "manji fisadi" anatoa macho tu
 
BRT phase 3 tangu mwaka jana mwezi Nov walitangaza Tender, mpaka leo mwaka mmoja baadae ht kumtangaza tu mkandarasi alieshinda tender imekua tatzo.
Enzi zile ulikua unawaona mawaziri wakipishana kuangalia status za miradi which helped to push miradi, now days wapo kimyaa utadhani sio wao waliokua na mwendazake awamu iliyopita.
SRG kipande cha Mwanza Isaka sijawahi kupata updates zake, kinafanyika kweli?
Mkuu, tender imetangazwa na wanasema sababu ya Covid wakandarasi wengi wanashindwa kusafiri na kuona site hivyo Tanroads wataweka link na wakandarasi waangalie Kwa video. That's fine shukrani Kwa teknolojia..

Ila Sasa wataweza Kuja kujenga baada ya kushinda tender!? Je wakishashinda ndio wataweza kusafiri na kufika site? Covid itakuwa imeisha?

Naona huo jamaa wa tender board wangejaribu ku review baadhi ya vipengele. Maana due diligence Kwa wakandarasi itakuwa partial na pia mobilization inaweza chukua muda maana tender notice imeshawapa excuse ya Covid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una ubavu leta picture ya Kisumu village center bila hili jengo

Pictures zote mnazo post lazima lijitokeze means Kisumu is so tiny village

View attachment 2049498
We unajua Kisumu kweli? If I start posting Kisumu you will run if you like let's do a Kisumu vs Arusha battle we see how far you will go both real estate infrastructures parks economic activities hospitals social amenities and the like
 
Maskin huna cha kuonyesha zaidi ya hizo calvat na NMT .. na sio kama Arusha hakuna NMT, lahasha mimi ndio sina picha.. lakini japo kwa uchache leo nimekutaftieni. Naona umempost mpaka soko View attachment 2049448View attachment 2049449View attachment 2049452View attachment 2049453View attachment 2049454View attachment 2049466inahitaji ujitoe ufahamu sana ili kusema Kisumu ni zaidi ya ARUSHA heb ona hapa sio hata CBD View attachment 2049473View attachment 2049475bonusView attachment 2049476
hizi ndio ujinga unafananisha nayo Kisumu....oh dear lord
 
Back
Top Bottom