Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii hata haifai kuitwa skyline. 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Aerial View Of The Temeke Area In Dar Es Salaam Stock Photo, Picture And  Royalty Free Image. Image 141555035.
 
Shida ya hawa watu wako radhi kujiongopea 😂😂😂😂, sasa sijui ni kwanini wanakua hivyo, yani ni kama mgonjwa wa ukimwi anaebisha mbele ya hadhira kwamba sio mgonjwa 😂😂😂
 
Sasa kwa hivyo kplc au tanesco wakibadilisha poles to concrete, picha za before za hio eneo automatically zinajiupdate au?
Umesoma post nilioreply? Huyo jamaa amesema ametoka kupiga pictures saa hiyo by his own hands na poles za umeme zote ni za miti tena poles zenyewe ni za hovyo kichizi

PicsArt_12-16-06.39.08.jpg
 
bado unaturudisha arusha village.......sidewalks ulipost parking ya hoteli ati side walks
Heee parking ya hotel tena.? 😂😂😂😂 Matatizo haya jamani, mzee kwani mkikubali Kisumu haziwezani na Arusha mtakufa.?
 
Sasa kwa hivyo kplc au tanesco wakibadilisha poles to concrete, picha za before za hio eneo automatically zinajiupdate au?
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Wacha niwachukulie new pictures of Nairobi fresh from the camera as Sasa hivi hata muone weather vile kuko View attachment 2045858



Current situation 😅😅
PicsArt_12-16-06.39.08.jpg
 
Kama hio ingine iko Tanzania, nitafunga hii account.
Hii Catheterization laboratory (Cath-lab) tumekua tukizitumia huu ni mwaka wa tano Sasa Serikali imefunga mtambo wa kisasa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6
Tafadhali timiza ahadi yako ya kufunga "account" yako Kama ulivyoahidi

Katika advanced Health Services, Tanzania ni nchi ya tatu hapa Africa baada ya South Africa na Egypt, ninyi wakenya msijaribu kabisa kujilinganisha na Tanzania, never again, stupid
 
Back
Top Bottom