Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Ngurue limejikaanga na mafuta yake mwenyewe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ningekua wewe singedhubutu kutumia google earth 😂 😂 😂 😂 😂 ., nilikua nishachambua Mwanza na Arusha, nilijua hamna kitu, wewe na kihere here ukarukia google earth 😂 😂 😂 😂 😂 😂Oy bandugu nilikua sijamaliza kupost kuhusu Arusha .. Hii ni kwa faida ya mkunya na watz ambao hawajawahi kufika Arusha .. hili eneo halijawahi kupigwa picha na kupostiwa popote pale ila mimi nitatumia google earth kwasababu naijua vizur Chuga, muone namna magufuli alivyopiga lami za kuzidi hapo mjini Chuga 👇View attachment 2045493View attachment 2045494haya meneo ☝️ni pembeni kidogo ya CBD pale mjini kati .. owky niwarudishe kwa makazi ya Watu nje ya CBD.. oya Chuga ni balaa 👇View attachment 2045496View attachment 2045497View attachment 2045498View attachment 2045499View attachment 2045516View attachment 2045517closer view 👇huu ni ule mji wanajenga unaitwa BURKA cityView attachment 2045524haya nayo 👇 ni maeneo ya karibu na mji unaitwa Safari City uke mradi wa NHC ulioishia njiani .. Hapa ni karibu na makazi hayo 👇View attachment 2045526wakunya 😂😂😂😂 kuanzia leo iwe marufuku kuitaja Arusha kwenye sentence moja na kijiji cha Kisumu ni dharau ya hali ya juu, Arusha ipo kwenye league yake yenyewe hapa EA .. Kisumu level zake ni Moshi ..
Kisumu.., yaani estates pekee zinafunika Arusha na Mwanza CBDs 😂 😂 😂 😂 .,
Larger Robert Ouko estate na vilivyomo
Upana, capturing surroundings estates next to Robert Ouko.., Mountain View, Pembe tatu all the way toward west part of Kisumu..
Milimani estate na vilivyomo..,
Western part of downtown.., sehemu not captured..,
Migosi/Lolwe/Kenya Re estates..,
A section of Mamboleo..,
