Tahira yaani pale Dar eneo ya level kama hizi mtasema sio slum!., mtu kuishi kwa ghorofa in Tanzania ni tajiri eti., hapa bado ni slum dogo.., View attachment 2042647 View attachment 2042650
Slums Kenya is everywhere, mwanzoni nilikuwa najua Slums zipo tu Nairobi, kumbe zipo mpaka Ikulu, majolity ya Wakenya wakiwemo wa humu JF wanaishi kwenye slums kama wanabisha waweke nyumba zao wanazoishi alafu muone.
Kenya ni Mavi wazee, hawa wakunya wa humu ukweli wanaujua na wanatamani wangelikuwa Watz maana Kenya ni ya mama Ngina na ukoo wake plus politicians wachache na foreigners, hawa mbwa wa humu hawana ndoto hata ya kununua kiwanja.
Tunajenga modern electrified SGR, Hydro power plant, tunanunua EMU, tunanunua ndege modern kwa cash, tunatoa maji ziwa Victoria kupeleka kila pembe ya nchi, tunajenga meli kubwa, ndio tushindwe vi apartments, r u serious?
Ngojeni 25 years.., mtaambiwa mara ngapi nyie.., sio tu mzungu, pia mwenzenu baba Levo., baba yenu Nyerere mwenyewe.., pia na Museveni kakiri., maneno yako ni yako tu., blind patriot😂😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.