Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani nyinyi huwa mnapost mitaa mipya jamani.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Si ni hiyo hiyo East land ya cheap apartments ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ a.k.a shule
Hii ni roysambu, waga hatuipost kabisa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿฅฐ
Screenshot_20211213-012114_1.jpg
Screenshot_20211213-012005_1.jpg
 
Dar kuna middle-class zaidi ya hizo changaduo za uswazi mnazoita dreamhouses?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Dream house sio hizo, au unataka nikuonyeshe dream house za Dar watu hujenga, ili uone ni jinsi gani wabongo tupo vizuri hasa kwa middle class
 
Huwa wanaona tunakaa kmy basi wanadhani hatuna apartments, cc tunajenga kote kote, isitoshe wao vi apartments vya bati nyekundu juu vipo tuu Nairobi, cc zipo Dar, Zanzibar, Moshi, na Dodoma.
Alooo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Eastlands imekuliza hivi
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Dream house sio hizo, au unataka nikuonyeshe dream house za Dar watu hujenga, ili uone ni jinsi gani wabongo tupo vizuri hasa kwa middle class
Mpo vizuri kwenye middle-class?? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hebu nipe takwimu ya middle-class kati ya Kenya na Tanzania tuone
 
Mpo vizuri kwenye middle-class?? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hebu nipe takwimu ya middle-class kati ya Kenya na Tanzania tuone
Ngoja kwanza unataka kuona dream houses za middle class wa Dar venye zinakaa au hutaki ?
 
Mpo vizuri kwenye middle-class?? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hebu nipe takwimu ya middle-class kati ya Kenya na Tanzania tuone
Vizuri na malls na supermarkets lazima waende CBD au kwa wealthy suburbs. Dar ni jiji la kishamba sana walai. Just imagine mtu atoke Kite au Juja eti ameenda tao kushop au kuhangout kwa mall. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Alooo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Eastlands imekuliza hivi
Hata mimi nimecheka hiyo statement yake sana. Eti wako na apartments? ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚. Ziko wapi tuzione?

One thing I like about these people is how they only talk negative about Kenya when it comes to things they don't have. But deep inside, they desperately loath to have the same things they are disparaging. Not long ago, they were talking so bad about apartments hadi wanaziita dormitories just because they realized they don't have them. Some even went as far as saying that no sane Tanzanian can live in an apartment building! Iweje leo hii tunaambiwa they have apartments not just in Dar, but in all their major towns? What changed? What's this sudden love for apartments all about? Watanzania hunichekesha sana
 
Vizuri na malls na supermarkets lazima waende CBD au kwa wealthy suburbs. Dar ni jiji la kishamba sana walai. Just imagine mtu atoke Kite au Juja eti ameenda tao kushop au kuhangout kwa mall. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Naona ameingia battle ya malls ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
How long will he go?
 
Ngoja kwanza unataka kuona dream houses za middle class wa Dar venye zinakaa au hutaki ?
Tukianza kuonyesha nyumba moja moja tutazaja server for no good reason. The best thing ni kuleta takwimu za middle-class between Kenya and Tanzania. It will save us a lot of time
 
Back
Top Bottom