Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

avictown_dar_1622026394686250.jpg
avictown_dar_1622026556909311.jpg
avictown_dar_1622026433181952.jpg
maxresdefault(12).jpg
789-1536x1024.jpg
89078597.jpg
DSC_0483.jpg
45d25e12f69730cbde841eba3b95865e6ebd4c67.jpg
89078588.jpg
3008022_IMG_6705.jpg

post aerial views....we want to sleep
Bado unataka zingine.?
 
Mkuu sio kweli kwamba kilimani ni pana/kubwa kushinda hayo maeneo ya Dar es salaam, tena kilimani inawezekana ikawa ndogo mno kwa hayo maeneo.

Hata kwa kuangalia tu unaweza kutambua kua Dar iko too far from ground compared to that section of Nairobi... ijapokua zote ziko measured katika same elevation.

Kwanini Iwe ivyo??? ni kwasababu Dar na Nai zina altitude/elevation tofauti kutoka usawa wa bahari, na kwenye hizo ramani haijazingatia utofauti huo.

=>Dar es salaam ipo lowland with an average of 55M(180ft) kutoka usawa wa bahari. While...

=>Nairobi ipo highland with an average of 1795M(5889ft) kutoka usawa wa bahari.

Kwahiyo bwana mkubwa Pepsi big hizo setilite image ulizoweka zinatofautiana scale hivyo basi mlinganisho wako au wenu majirani unawalakini, la sivyo utafute deference in election iliyopo kati ya Nai na Dar, ndio u-zoom zaidi Dar map ku-compensate, ukifanya hivyo kilimani itatoshana na mtaa ndani kariakoo.

Tizama screenshot hizi nimetumia same elevation lakini features zina-appear kuwa na scale tofauti kutokana na altitude ya eneo husika.

Highland: Nairobi & Arusha
View attachment 2042065View attachment 2042066

Lowland😀ar es salaam & Mombasa.
View attachment 2042067View attachment 2042068

Unaweza ukajihakikishia mwenyewe kama huamini.

Case closed.
umempa somo ila kwa kuwa kichwa cha huyo mkenya ni box hakuna alichoelewa
 
Kenya nzima imezungukwa na slums na ndiyo maana hawataki kupiga picha maeneo wanayoishi raia wa kawaida kama hawa wa humu jamii forums, utakuta anapiga vipicha vya CBD wanabadili kila upande na ukikuta kapost residential ujue ni za foreigners.

Wakenya ni wachafu sana mkuu, kama wakiachiwa wakae pamoja na foreigners basi hayo maeneo yote yatakuwa machafu kama wanapoishi majolity.
Raia wa Kawaida Nairobi wanaishi Eastlands na maeneo Kama hayo. Eastlands sio mtaa but rather the eastern part of Nairobi comprising of several residential areas. Sasa linganisha hizi makazi za eastlands na zile dreamhouses zenu that dot your entire city

Donholm
Screenshot_20210507-230155~3.png
images (96).jpeg
2992759_JamiiForums1387060449~2.jpg
2992581_1636374344167~2.jpg
2992580_1636374319461~2.jpg


Embakasi

images(122).jpg
images(121).jpg
images(123).jpg
images (87).jpeg
images (85).jpeg


Pipeline
Screenshot_20210616-011846.png
images(126).jpg
images(125).jpg
images(124).jpg
images(120).jpg


Komarock

2992573_1636373962937~2.jpg
2992710_1636381348910.png


And then we have a typical residential area in Dar where the majority live 😂
images (27).jpeg


2992577_1636374139083~2.jpg


images (85).jpeg


images (87).jpeg
 
Raia wa Kawaida Nairobi wanaishi Eastlands na maeneo Kama hayo. Eastlands sio mtaa but rather the eastern part of Nairobi comprising of several residential areas. Sasa linganisha hizi makazi za eastlands na zile dreamhouses zenu that dot your entire city

Donholm
View attachment 2041994View attachment 2042006View attachment 2042007View attachment 2042008View attachment 2042010

Embakasi

View attachment 2042091View attachment 2042092View attachment 2042094View attachment 2042099View attachment 2042100

Pipeline
View attachment 2042103View attachment 2042104View attachment 2042105View attachment 2042106View attachment 2042108

Komarock

View attachment 2042111View attachment 2042115

And then we have a typical residential area in Dar where the majority live View attachment 2042118

View attachment 2042017

View attachment 2042024

View attachment 2042025
Kakasirika, karudia rudia mipicha ya cheap apartments
 
Kigamboni kuna mall gani? Wachina walijenga residentials bila shopping center. Can never be Nairobi.
NAIROBI kwisha ,

yaani miaka nenda rudi huwa hamnaga vitu vya kupost zaidi ya hizo hizo estate miaka nenda rudi,

kweli mnasafari ndefu sana,mnakazi yaziada sana yakukujenga hako kamji,bado sana
 
Raia wa Kawaida Nairobi wanaishi Eastlands na maeneo Kama hayo. Eastlands sio mtaa but rather the eastern part of Nairobi comprising of several residential areas. Sasa linganisha hizi makazi za eastlands na zile dreamhouses zenu that dot your entire city

Donholm
View attachment 2041994View attachment 2042006View attachment 2042007View attachment 2042008View attachment 2042010

Embakasi

View attachment 2042091View attachment 2042092View attachment 2042094View attachment 2042099View attachment 2042100

Pipeline
View attachment 2042103View attachment 2042104View attachment 2042105View attachment 2042106View attachment 2042108

Komarock

View attachment 2042111View attachment 2042115

And then we have a typical residential area in Dar where the majority live 😂 View attachment 2042118

View attachment 2042017

View attachment 2042024

View attachment 2042025
😂😂😂 Ila we Chizi unachekesha sana picha zote ulizopost mara ooh East land ni mtaa sijui nini na nini 😂😂 kumbe ni summary ya kitu hiki hapa 👇
3031583_Screenshot_20210616-011846.png
cheap buildings kibao 😂😂😂 kama itajitahidi size yake mikocheni 👇
3008022_IMG_6705.jpg
789-1536x1024.jpg
 
Back
Top Bottom