Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilikua nataka kuwaonyesha jinsi kaeneo kaliko jengeka kadar kalivyo kadogo....ndio mwache kutuonyesha hizi takataka kila sikuView attachment 2041723
lol......Indeed you have a long way to go to reach our levels
9247451742_c2fd36014d_b.jpg
9247450740_105262e7a2_b.jpg
9247449668_732de1c3a7_b.jpg
9247453814_53c5965b18_b.jpg
9247454434_b15c0700e9_b.jpg
 
Bora watumie majina ya kizungu co hayo majina ya mababu zao, eti Kisumu, Dongo Kundu, Nakuru yn majina mabaya mabaya tu kama sura zao
lol....if you resort to insults you are losing it......arusha na umbeya na dodoma are pretty names according to you lol.Though it's too low to start arguing at town or city names
 
Kwasababu maeneo si huwa hayajengwi.. 😂😂 ngoja nikupe hotoria fupi ya makumbusho, kwanza ni eneo lilijengwa ndani ya miaka mitano tu, na kulikua na barabara ya njia moja tu, magufuli ikaiongeza barabara kutoka njia moja hadi njia nne 2017, baadae juzi tu elfu 2019 ukaanza ujenzi wa kuipanua zaidi pamoja na kuongeza mitaro, na Ili kuruhusu kujenga BRT lanes katikati ya barabara👇View attachment 2040960ni kweli hii mitaa mingi ilikua haina lami, lakini as I'm talking right now hakuna chochoro hata moja ya hapo makumbusho ambayo haina lami .. kwasasa ni pazur mno 👇View attachment 2040962shida ya nyinyi hamtakagi fair comparison, mnalazimisha hata yasiyo kuwepo, kwa mfano, hii barabara ya bagamoyo road kuna upande ni mitaa yenye makazi mazuri, na kuna upande kuna mitaa Iko ni uswazi tho hayo maeneo mengi ni biashara ndogo ndogo zinafanywa sana hapo 👇hata kuna kituo cha mabasi hapo n.kView attachment 2040967shida iliyopo ni kwamba kila hamtaki kuelewa kila kukicha mnarudsha discussion hiyo hiyo moja .. naakati kila kitu kimeshaelezwa humu, mnachokifanya nyinyi ni kurudisha picha zilezile zilizopigw tangu hiyo miaka mitatu iliyopita unavyozungumzia, and that's why nawaona ni matahira tu au waoga
Hii insha haina umuhimu wowote coz it doesn't change anything. Sote tunajua Kijitonyama imejengeka tu kando ya hiyo barabara ya morogoro rd. Kama nadanyanganya, nipe picha iliyopigwa kutoka juu inayoonyesha magorofa kila mahali apart from along that stretch of the road.

Why are you so comfortable with this horizontal picture 👇 👇
Screenshot_20211212-205135.png

...but not with this one taken from above?
3029550_FB38E288-A766-4A18-AD45-AE5AC20B4E89.jpeg

Ni nini kimebadilika kwenye hiyo horizontal photo yenye hakipo kwenye hiyo aerial photo?
 
Hii insha haina umuhimu wowote coz it doesn't change anything. Sote tunajua Kijitonyama imejengeka tu kando ya hiyo barabara ya morogoro rd. Kama nadanyanganya, nipe picha iliyopigwa kutoka juu inayoonyesha magorofa kila mahali apart from along that stretch of the road.

Why are you so comfortable with this horizontal picture
View attachment 2041785
...but not with this one taken from above?
View attachment 2041748
Ni nini kimebadilika kwenye hiyo horizontal photo yenye hakipo kwenye hiyo aerial photo?
daresalaam nyuma ya kila mjengo ni uchwara tu.....ati city lol
 
Uhuru park inajengwa to an ultra modern park... Parks and green spaces I know is a non existing vocabulary in Dar-is-slum
Hata Ile bus stand mliita ultra Morden , Kwa sifa hmjambo . Mara superhighway yaani sifa ni direct proportional na ukunya land
 
Back
Top Bottom