Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wew jamaa kila ilivyo itakua unaliwa tako wewe au uko na uwezo mdogo sana wa akili.. hauwezekani mtu timamu atetee huu upuuzi. Ushoga ni jambo ambalo halifai, halikubaliki na ni laana, ipo historia kwenye vitabu vya dini inayoeleza ni kwa namna gani Mungu anachukizwa na vitendo hivyo, rejea vitabu vya dini kijana..

Wewe nimekudharau
Sihitaji heshima yako kwasababu hainisaidii chochote. Ninasimama kwenye upande wa haki na usawa siku zote na sijawahi kujutia.
 
Mzee labda mababu WA kwenu. Sehemu nyingine hata mnyama wa kufungwa aki practice huo mchezo anauliwa
Kwa hiyo Uko tayari kuua binadamu mwenzio kwasababu hupendi kuona ampenda binadamu mwingine?
7F4C94FE-47E1-4EB5-8662-B9679FFE3CFA.gif



Tuanze na historia ya pre-colonial Uganda. Uganda is actually one of the most anti-LGBTQ nations in Africa. But before the British colonialists brought Christianity, things were quite different.

9E7CEEE8-A1E9-4C7D-AAEE-7456EECB4E9B.jpeg


 
Back
Top Bottom