komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mi naziona hzo gari mzee bana, kuna watu wanatoa vyuma bandarani..
Labda awe anamaanisha toyota kenya ndio mzigo umetua km anavyosema
Mi naziona hzo gari mzee bana, kuna watu wanatoa vyuma bandarani..
Memes haitaondoa ukweli kuwa Tanzania only have five helicopters.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2038716
Hehehehee kwani hapo unaadhimishwa uhuru wa wapi vileeKwn tanzania km nchi ilishinda vita lini







Hehehe Maji maji idiots.
sawa tuambie bei zake basi muagizaji wa helcopter za tanzania 😂😂😂😂😂Memes haitaondoa ukweli kuwa Tanzania only have five helicopters.
Hata unatia huruma mzee, pole sana
Nengua mzee km kawaida yako
Helicopters mko nazo tano. Mkipata ya sita njoo tuongee.sawa tuambie bei zake basi muagizaji wa helcopter za tanzania 😂😂😂😂😂
kweli kabisa😂😂😂😂Siezikosa usingizi juu ya nchi maskini kama Tanzania.
But its true, my friend was his pilot during that campaign periodUnaongea upumbavu ndio mana unarauliwa, sasa kwaakili zako chache yani jeshi la nchi nzima liwe na chopa tano.?.mara Ooh raisi wetu alikua anatumia chopa zenu kwaajili ya kampani za uchaguzi
Unafkiri kwanini usichekwe.?
Hawa watu hawapendi ukweli. Ukiangalia most of the helicopters being used in Tanzania they are either za South Africa ama za Kenya.But its true, my friend was his pilot during that campaign period
Kweli uko kwenu kuna umaskini, toyota nayo ni gari ya maana sana kwamba kununua iwe ni ngumu.? ilihali diamond hayupo hata kwenye top list ya watanzania matajiri na anamiliki Rolls-Royce Calinan 2021 😂😂😂 poor KenyansKununua gari toyota direct sio rahisi mzee
sawa mnunuzi wa helicopter za tanzania 😂😂Helicopters mko nazo tano. Mkipata ya sita njoo tuongee.
kwamba jeshi la tanzania linatumia helicopter za south na kenya 🤣🤣🤣Hawa watu hawapendi ukweli. Ukiangalia most of the helicopters being used in Tanzania they are either za South Africa ama za Kenya.
Jeshi lenu iko na helicopters tano, hiyo tulishamalizana nayo.kwamba jeshi la tanzania linatumia helicopter za south na kenya 🤣🤣🤣
RR second handKweli uko kwenu kuna umaskini, toyota nayo ni gari ya maana sana kwamba kununua iwe ni ngumu.? ilihali diamond hayupo hata kwenye top list ya watanzania matajiri na anamiliki Rolls-Royce Calinan 2021poor Kenyans



ww ndio ilienunua hebu tuambie hii ulinunua bei gani 😂😂👇👇👇Jeshi lenu iko na helicopters tano, hiyo tulishamalizana nayo.
second hand kwakua ww ndio ulioagiza 😂😂 yani munawivu mpaka gari za watuRR second hand
Alafu wewe huna ubavu wa kununua gari toyota kenya..
Unafikiria toyota kenya wanauza mikweche iliyotumika nje