Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Bro shida ni kwamba huyo tahira yeye anasoma vitu kwenye mitandao while wewe unacheza navyo hivi vitu daily kitaa.. hiyo ni tofauti kubwa mno, maskini kubishana na mtu mwenye hela zake tena eti kuhusu magari 😂😂😂 no wonder uskute huyu mpuuzi Don YF hana ata ka ISTunaakili mbovu wewe facelift utaipata wapi na gari imetoka mwaka huu june 😂😂😂
facelift inakuja baada ya mwaka na kitu hata hzo spare zinaanza kutapakaa baada ya mwaka duniani 😃😃😃😃
hujui hata kutofautisha LC 200 and LC 300
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
