Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

15000 students
Screenshot_20211207-075500.jpg
 
tuko busy kujenga miradi mikubwa africa mashariki na kati tuko busy kuijenga dodoma na tuko busy kujenga viwanda vikubwa sana ukanda huu kaa mkao wa kula 😂😂😂 2 yrs to come hakuna sehemu itaifikia kigamboni kwenye industries
Ile wimbo wako wa render umeisahau leo?
 
Nmedhibitisha Nairobi kweli kuna barabara nyingi za juu kama alivyosema Baba Levo. Yani hadi mdanganyika hajui hii ni outering road ambayo imekua in existence since sikumbuki ata lini.
Tukiwaambia hawasikii. Outering road has been in existing for around five years now na midanganyika are still confusing it with the expressway. Wanadhani Nairobi ni jiji la one elevated road kama yao! Zipo nyingi we can't even count
 
Joe Biden ametenga bajeti ya $1+ Kwa ajili ya infrastructures Nenda kamshangae naye amesema tuta.

Unajua maana ya mipango au planning?
Differentiate between "tuta" na "ame"

Mtu wa kwanza bado anatarajia kufanya hivyo, na hakuna hakikisho if he'll do that. Mtu wa pili tayari asafanya hivyo na tendo lenyewe linaonekana
 
Siyo visingizio, no kweli. Tena huwa tunanunua mapya kabisa kutoka Japan.

Kabla ya 1993 magari yote ya serikali yalikuwa yakiagizwa kutoka Uingereza (109, 110 na Defender). Mercedes-Benz zilitumika kwa viongozi wakuu tuu.
Why would a government go public about something like that if indeed it's not true? What does it stand to gain by saying that publicly if there's no truth in it? Saa zingine mnaona watu ni wajinga sana!
 
Tunawapiku kwenye vyote isipokuwa kwenye GDP ya kuandika kwenye karatasi hiyo ndio mtakuwa mmetuzidi tuu
Sawa bongolala. Ondoa GDP kisha uniletee mahali mumetupiku kwenye Human development index, middle-class population, poverty index, manufacturing na mambo kama hayo
 
Back
Top Bottom