The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
PoaYatapiga sana misele siku ya Alhamis Mkuu, our 60th birthday,
Chaji simu yako











Sent using Jamii Forums mobile app
PoaYatapiga sana misele siku ya Alhamis Mkuu, our 60th birthday,
Chaji simu yako











European standards
Hii Agakhan ni hospital au? Na je ina offer bone marrow transplant?









Magorofa tunayo mengi nimeshakuambia ungekua umefika DSM ungeelewa wakunya mnapenda sifa Kwa vitu havipo eti mliobuni🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tunaongelea magorofa ya uswazi. Sio akina Britam ama TPA ambayo yalibuniwa na Wakenya.
Ndivyo dunia inavyokwenda, mashirika yote ya misaada huwa ni njia tuu ya kukaba shingo, nchi masikini, hakuna usamaria mwema duniani hapa.Why would a government go public about something like that if indeed it's not true? What does it stand to gain by saying that publicly if there's no truth in it? Saa zingine mnaona watu ni wajinga sana!
Yatapiga sana misele siku ya Alhamis Mkuu, our 60th birthday,
Chaji simu yako



Fanya hivyo mkuu, yani leo roho imeniuma sana, kuna view kali nmeikosa, yale ma new and modern helcopters yetu leo yalikuwa angani nikakosa kuyapiga picha aisee daahhh.
Umekasirika, sauzi hapana maajabu yyte mzeeHizo ndio akili za watoto wa mombasa wazee wa "Maaa chapati inshindaaa" "Maaa matie pesa ya Maaamrii".. waafrika wengi mno wanakimbilia kutafuta maisha SA .. au umesahau xenophobic violence in SA ...? Unajua ni watu kutoka mataifa gani ndio walipigwa na wengine kuuwawa.? Unajua ni kwanini walipigwa na baadhi yao kuuliwa na indigenous people of SA.?


Tanzania nchi ya asali mradi wa serekali unatozwa toll feeHuo mradi ulijengwa na financial institution ya Bongo, kwahyo hapo kinachofanyika ni kama kurudisha pesa ya uwekezaji ili iende tena kuwahudumia wananchi. Sisi ni tofauti na nyinyi wazee


Hamna zaidi ya mkopo hapo lkn serekali haitaki kusema ukweli, wanawageresha geresha tu mkishtukizia deni limelipwaUnawajua waliotoa fedha Ili kujengwa kwa hilo daraja.?