Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maskini wa tz wanakimbiliaga SA kutafuta maisha, hata maskini wa Morocco hukimbiliaga Spain kufata maisha mazuri, sasa ukiona unabezwa na maskini kwamba aje kufuata nini nchini mwako jua wewe huna maajabu/jambo la maana.. punguani wewe .. huwa unatumiaga asilimia ngapi ya Ubongo wako kuelewa mambo.? ..
South africa km ndio sehemu ya kutafuta maisha heri nibaki kenya, sauzi kuna maajabu gani haswa..yani niachane na watu km akina UK, GERMANY na CANADA ndio niende sauzi

Wao wenywe kule wanajifea, yani mbongo akitoka sauzi anachukua mpka wake za watu
 
Unawajua waliotoa fedha Ili kujengwa kwa hilo daraja.?
Hela ya ndani si ilipie basi ndio mtokani na huo upuuzi wa serekali kuchukua toll fee

Lkn usijali, nyie kw donation hamjambo sio kitambo mtapaewa donation mfute toll fee
 
Hela ya ndani si ilipie basi ndio mtokani na huo upuuzi wa serekali kuchukua toll fee

Lkn usijali, nyie kw donation hamjambo sio kitambo mtapaewa donation mfute toll fee
Huo mradi ulijengwa na financial institution ya Bongo, kwahyo hapo kinachofanyika ni kama kurudisha pesa ya uwekezaji ili iende tena kuwahudumia wananchi. Sisi ni tofauti na nyinyi wazee
 
Soma tena nilichokiandika .. kama ni shule umeshafeli kwa kukurupuka kujibu kabla hujaelewa mada..😂😂😂
Hiyo post yako ni kuwakomoa wakenya kuwa watanzania wanawachukulia “hovyo” Sio? Kwamba hakuna lolote la muhimu la kufanya Kenya? Lakini huo ni upuuzi. Kuna watanzania wenye ndugu Kenya, kuna watanzania wenye biashara Kenya, na wapo watanzania wanaoenda Kenya kupata fursa.
 
South africa km ndio sehemu ya kutafuta maisha heri nibaki kenya, sauzi kuna maajabu gani haswa..yani niachane na watu km akina UK, GERMANY na CANADA ndio niende sauzi

Wao wenywe kule wanajifea, yani mbongo akitoka sauzi anachukua mpka wake za watu
Hizo ndio akili za watoto wa mombasa wazee wa "Maaa chapati inshindaaa" "Maaa matie pesa ya Maaamrii" 😂😂😂.. waafrika wengi mno wanakimbilia kutafuta maisha SA .. au umesahau xenophobic violence in SA ...? Unajua ni watu kutoka mataifa gani ndio walipigwa na wengine kuuwawa.? Unajua ni kwanini walipigwa na baadhi yao kuuliwa na indigenous people of SA.?
 
South africa km ndio sehemu ya kutafuta maisha heri nibaki kenya, sauzi kuna maajabu gani haswa..yani niachane na watu km akina UK, GERMANY na CANADA ndio niende sauzi

Wao wenywe kule wanajifea, yani mbongo akitoka sauzi anachukua mpka wake za watu
Muulize mtoto wa mama ngina kafata nini south Africa kama hakuna kitu🙂
Screenshot_20211207-062227_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom