Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mnaona cc Watz tulipofika? Angalia one of our cable stayed bridges hiyo, nimesave hii picha ckuwa nayo, asante sana ila nawakumbusha msije kuitumia kule skyscraper city cz tupo na nikikubaini sitakuacha salama

Sent using Jamii Forums mobile app
Lipia kigamboni wewehela ya ndani kw vipi, si mlipie hilo daraja ndio toll fee ziishe
 
unawashwa na wakenya kulipia toll unasahau huko kwenu dalala inalipa tsh5000/ksh244 ili kuvuka daraja??
View attachment 2035278
imejemgwa na serekali ya tanzania imagine na tozo zinaenda serekalini nyie je tozo zinenda kwa nani kama sio mchina kwa miaka 30🤣🤣🤣🤣 yani hata aibu huoni

project ya mchina na tozo za mchina who is gaining and who is loosing??😂
 
watajifanya hawajaona 😂😂😂
4C9D81E8-E004-4611-8163-917EC9326671.jpeg
 
Sasa maskini kama wewe ukuje kenya kufanya nini kama si omba omba, hii shida wachia matajiri bana
😂😂😂 Maskini wa tz wanakimbiliaga SA kutafuta maisha, hata maskini wa Morocco hukimbiliaga Spain kufata maisha mazuri, sasa ukiona unabezwa na maskini kwamba aje kufuata nini nchini mwako jua wewe huna maajabu/jambo la maana.. punguani wewe .. huwa unatumiaga asilimia ngapi ya Ubongo wako kuelewa mambo.? 😂😂😂 ..
 
Maskini wa tz wanakimbiliaga SA kutafuta maisha, hata maskini wa Morocco hukimbiliaga Spain kufata maisha mazuri, sasa ukiona unabezwa na maskini kwamba aje kufuata nini nchini mwako jua wewe huna maajabu/jambo la maana.. punguani wewe .. huwa unatumiaga asilimia ngapi ya Ubongo wako kuelewa mambo.? ..


Naona hawa tayari wako SA kweli
 
imejemgwa na serekali ya tanzania imagine na tozo zinaenda serekalini nyie je tozo zinenda kwa nani kama sio mchina kwa miaka 30 yani hata aibu huoni

project ya mchina na tozo za mchina who is gaining and who is loosing??
Pesa za ndani vipi
 
Back
Top Bottom