Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Hivi kweli unaweza linganisha magari ya serikali ya kenya na Tanzania?Kwn huku sisi ndio hatununui magari serekalini kitoka japani eee
Hivi kweli unaweza linganisha magari ya serikali ya kenya na Tanzania?Kwn huku sisi ndio hatununui magari serekalini kitoka japani eee
We ni mpuuzi sana, magari gani serekalini mnayo sisi hatunaHivi kweli unaweza linganisha magari ya serikali ya kenya na Tanzania?
Nenda kw kenge wenzio hapa huna nafasi mpuuzi mmoja weweUmeosha matako leo.?
Hahaha wewe kadanganye mtu hajafika morogorounajua wapi na ninakupa aerial view unajinyeaunafkiri hii ni ile tanzania ya 90s
unawashwa na wakenya kulipia toll unasahau huko kwenu dalala inalipa tsh5000/ksh244 ili kuvuka daraja??but its chinnese owned project je hilo unalijua?? na je unajua hamutapita bila malipokwa hvo ni sawa siwez kataa lakini sio kenya itoe pesa ijenge wakat pesa ya 5km railway haina
Hahaha huyu msee ni fala mbishi banaunawashwa na wakenya kulipia toll unasahau huko kwenu dalala inalipa tsh5000/ksh244 ili kuvuka daraja??
View attachment 2035278

Perhaps awe rais wa familia yakeMwenzenu anatafuta political mileages
He's a presidential aspirants
And he won't cease to do those show off cause anaona zinamleta sifa
Trust me atachukua form huko mbeleni
Hawa jamaa wanapigwa kila sehemuunawashwa na wakenya kulipia toll unasahau huko kwenu dalala inalipa tsh5000/ksh244 ili kuvuka daraja??
View attachment 2035278
Jamaa sijui walikosea wapi mpk magu akuwapa brt phase 2 akawapa wachina!!strabag walikua vizuri mno
Wakenya mnaona cc Watz tulipofika? Angalia one of our cable stayed bridges hiyo, nimesave hii picha ckuwa nayo, asante sana ila nawakumbusha msije kuitumia kule skyscraper city cz tupo na nikikubaini sitakuacha salamaunawashwa na wakenya kulipia toll unasahau huko kwenu dalala inalipa tsh5000/ksh244 ili kuvuka daraja??
View attachment 2035278








Mwenzio anakuuliza wewe unakasirika, kwnn unafanya etiNenda kw kenge wenzio hapa huna nafasi mpuuzi mmoja wewe







Tuliwapiga vby kwenye hyo battle, ila kama wanataka ngoma irudiwe poa tu.Hivi kweli unaweza linganisha magari ya serikali ya kenya na Tanzania?
Now kila kitu ni Tz tu, tume wa outshine vby sn kwenye kila angle.mambo kama haya
Atokee mkunya yeyote aweke picha yenye concrete jungle kama hii ili nifunge accnt Jf.DSM kuna location nyingi Tu za picha nyingine hii hapa courtesy of yourvMuslim
View attachment 2035270
When you read Comments like this you wonder if people here ever stepped in school.🤦🏾♂️🤦🏾♂️Hivi kweli unaweza linganisha magari ya serikali ya kenya na Tanzania?
Kenge km kenge, huyambo
Magari gani ambayo mnayo kwenu kwetu hatunaTuliwapiga vby kwenye hyo battle, ila kama wanataka ngoma irudiwe poa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haruna uchafu kama huu Kenya.Atokee mkunya yeyote aweke picha yenye concrete jungle kama hii ili nifunge accnt Jf.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kw mama hyo, alafu utamskia kenge mmoja eti mama ana zurura tuNow kila kitu ni Tz tu, tume wa outshine vby sn kwenye kila angle.
Sent using Jamii Forums mobile app


