Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brt Phase 2....tumenasa hapa Mama anaenda Kigamboni kufungua kiwanda cha vifaa vya umeme. Moja ya viwanda vikubwa Afrika.
IMG_20211206_085959_3.jpg
 
Feb show off sana,sidhani kama kalemani au prof muhongo kwenye hali kama hii tunayopitia tungewaona mitandaoni wakipost wapo angani na helikopta,kuongea na balozi wa US au kwenda uarabuni,jamaa ovyo sana yule
Mwenzenu anatafuta political mileages

He's a presidential aspirants

And he won't cease to do those show off cause anaona zinamleta sifa

Trust me atachukua form huko mbeleni
 
We jamaa mbona muongo muongo au Unatafuta kujifariji, eti hizo picha umepost unadai eti tumesema ni 90% ya mradi kweli.? . Haya heb enjoy the view ..halaf skia hizo ni barabara tu 51km.. na haya ndio majengo yatajengwa hapo. Na huu ni uzinduzi wa hayo majengo, jana waziri mkuu alitembea moja ya majengo hayo ambayo yapo under construction . Pia alifanikiwa kupita kuona mradi wa jengo la kitegauchumi Dodoma (Government City complex) View attachment 2031653View attachment 2031654View attachment 2031655View attachment 2031656

Naona unajifurahiisha.. hakuna mji wowote hapo kwenu kando ya NAIROBI utawezana Dodoma hata robo tu, usijidanganye kijana.. hizo tatu City sijui ndio usitaje kabisa
Hako kajengo kamoja ndio 90%
 
Mwenzenu anatafuta political mileages

He's a presidential aspirants

And he won't cease to do those show off cause anaona zinamleta sifa

Trust me atachukua form huko mbeleni
Huyo urais atauskia bombani wizara tu imemuonesha picha yake halisi .....
Hawez kuongoza nchi kwanza michongo mingi hana uzalendo
 
Back
Top Bottom