ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
😀😀😀😀 na probox nimezioma zinakula vichwalorry terminal, angalia tu sura za magari yanayoingia , sijaona Bus hata moja hapo 🤣
😀😀😀😀 na probox nimezioma zinakula vichwalorry terminal, angalia tu sura za magari yanayoingia , sijaona Bus hata moja hapo 🤣
Donation sio?
Mtoto wa magufuli, we all speak sheng unless its handrwiting your talkin about , hio ingine ni your imaginationMtoto wa mama Ngina mwandiko huu kama wa COLLO.
Video ya nini, mimi niulize morogoro nikujibu shenzi type,nimekupa video ushaanza kujinyea![]()
Tena video haina part ya msamvu, nanenane, kihonda nknimekupa video ushaanza kujinyea 🤣🤣🤣
tumejenga reli na barabara na pia tumeunganishia watu stima million 8
ila suala la ajira bado ni gumu sana
😂😂😂😂😂😂 Teargas njoo utusaidie plz
Kwahiyo nani amekwambia hiyo ni aslimia 90 we matako.?Hako kajengo kamoja ndio 90%
Mama nginaWho designed TPA tower?
Nini special iko msamvu apart from stendi ya mabasi, nane nane hamna kitu kwa nakuru, morogoro labda ucompare na nanyukiTena video haina part ya msamvu, nanenane, kihonda nk
Kwan Nakuru Iko na stendi kama Msamvu.? Nini special iko Nakuru and you think hakuna Moro.?Nini special iko msamvu apart from stendi ya mabasi, nane nane hamna kitu kwa nakuru
🤣🤣 Next time think before trying to compete with Kenya on matters professionals.Mama ngina
Tuliwaambia cc ndio baba yaoNdugu zetu wakenya mna shida gani nyinyiView attachment 2034835





Watake wasitake watakuwa wanakuja huku kununua electrical appliances.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tahira wewe...🤣🤣 Next time think before trying to compete with Kenya on matters professionals.
Na tukiwaambia elimu yetu kubwa muwe mnatuelewa, now viongozi wenu wanakuja kuongeza maarifa waliyoyakosa kwa elimu yenu mbovu, inauma sanaBibi, wifi, girlfriends,sisters wote wawekeni ready, pia mps wanakuja for sports






Hiyo research ya Emali station uliifnya wapi and can you share with us the research materials?Kuhusu suala la station kutokuwa na sehemu ya mizigo ni suala ambalo lipo wazi kabisa nimefanya research na nikagundua kwamba Emili station ni kwaajili ya abiria tu.. hivyo basi tukizungumzia facilities, Pugu Iko vizur ukilinganisha na Emali station, in the other hand tukizungumzia Uzuri Emili station wins.. There for kati ya hizi station mbili kila moja iko na ubora wa namna yake, case closed..
Tukiamia kwenye station kubwa, DSM station vs NAIROBI station .. DSM station inaipiga Nairobi station hands down.. kama unabisha twende ground
Hata mimi I noticed that too ni vile tu sikutaka kuongeaIf you want to know how short Tanzanian trains will be, just look at the boarding shade and then compare na za Kenya. I doubt hata kama hizo trains zao zitabeba watu watu 15o per trip.
View attachment 2034030
View attachment 2034032
Story za tuta....ita peleka TandaleUnatambua kuna line ya kv 400 inakuja namanga ipandishe kenya ?
Kenya itauziwa umeme na Tanzania
Sasahivi Tanzania inazalisha 1601 MW
Ikiamua ku triple ikazalisha 4803 Mw inawekezana ndani ya miezi michache
Tatizo umeme wa gesi ni gharama kuliko Chanzo cha maji Kwahio itatumia chanzo cha maji
Mwaka huu bwawa likianza kazi jumla ya uzalishaji utafikia 3700 Mw