Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kungekuwa na sheria balloons zote zinaoperate ndan ya hifadhi zetu ziwe na hii rangi ya taifa
IMG_3265.jpg
 
Bwana Nicxie kwani huwa mko na shida kwenye kufanya comparison.. pugu station imeshalizwa kujengwa na picha zipo, kwanini usipost hizo then fanya comparison Yani jaribu kuwa na fair comparison.. au unaogopa.? Au hauna picha za pugu station iliyokamilika nikupee.?
 
Bwana Nicxie kwani huwa mko na shida kwenye kufanya comparison.. pugu station imeshalizwa kujengwa na picha zipo, kwanini usipost hizo then fanya comparison Yani jaribu kuwa na fair comparison.. au unaogopa.? Au hauna picha za pugu station iliyokamilika nikupee.?
kwa akili zako unaona hicho kistation ni cha kulinganishwa na emali station???
 
Bwana Nicxie kwani huwa mko na shida kwenye kufanya comparison.. pugu station imeshalizwa kujengwa na picha zipo, kwanini usipost hizo then fanya comparison Yani jaribu kuwa na fair comparison.. au unaogopa.? Au hauna picha za pugu station iliyokamilika nikupee.?
Ilipanuliwa au bado ni hiyo size ya choo ya bedsitter?
You mean this one?
images(82).jpg


Do you still want to compare it with Emali SGR Station?
 
Sasa kama ndio hivyo msituletee huu upuuzi wa kusema BRT buses zenu zitakuwa bora sababu ni za Stima wakati hujaziona, tuongee kuhusu functioning BRT na failed lipstic BRT……so far hamna cha kutuonesha ambacho kinashinda vyetu. Sisi reli ipo na umeme umepita……treni hakuna matata zitakuja, serikali zetu sio za kilaghai kama zenu iliyowaahidi kuwaletea bullet train alafu alafu ikawaletea mitungi ya gongo alafu ikawapiga fix kwamba hatuna umeme wa kutosha so komaeni kwanza na hii mitungi baadae tutanunua umeme Tanzania tulete za umeme…..
Wakati wao wakifikiria kuhusu electrified SGR cc tutakuwa tunafikiria kwenda Mars

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom