Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maelezo yangu uliyasoma vizur ukayaelewa.? Nilikua nakuelezea jinsi ya kufanya fair comparison, umenielewa.. .? Na mbona ipo wazi kwamba EMALI station ni nzuri kuliko pugu... Alafu naona unasisitiza kituo Chetu kilichopo Dar 😂😂😂, skia ipo hivi vituo vyote vidogo vya SGR kutoka DSM hadi moro vinafanana hivyo, ukubwa huo huo, rangi na kila kitu.. and naweza pia kujivunia kituo cha pugu kipo na facilities nyingi zaidi ukilinganisha na Emali
Facilities?? 😂 😂 😂
Hebu tupe picha za ndani ya hicho kibanda cha choo tuone hizo facilities.

And then did you say that this is just one of the smaller stations meaning there are bigger ones? Please share with us those bigger stations tucheke kidogo
 
UN Avenue, Gigiri
rtaImage.png
 
Facilities?? 😂 😂 😂
Hebu tupe picha za ndani ya hicho kibanda cha choo tuone hizo facilities.

And then did you say that this is just one of the smaller stations meaning there are bigger ones? Please share with us those bigger stations tucheke kidogo
Bigger stations ni Dar na Moro(Dodoma baadae) hakuna sababu ya kuwa na stations kubwa kwenye small towns like Pugu,Soga,Ngerengere!
 
Yes kuna Masaki ya Kisarawe, na hii ya huku karibu na Oysterbay. Hio picha ulioweka ni Masaki ya huko Oysterbay ni kweli kuna few streets hazina lami. This is Africa.
I still don't get how the same neighborhood can have different physical locations
 
Back
Top Bottom