Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So hiyo intelligence ndiyo hizo gari ambapo zilimbeba kiongozi mashuhuri kwa siri kiasi cha kwamba hata watu hawakuona na ikabaki siri kubwa mpk leo, kwamba hata Airpot hakukuwa na mtu hata mmoja au sio, mnajiona uwezo wenu wa kujenga hoja ulivyo hafifu Wakenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongolala, I know you are stupid but don't drag me to your level ndio tufanane.

The issue of leaders and prominent people entering other countries secretly (for lack of a better word) for whatever reason is not something new.
 
Screenshot_20211204-234102.png



Cheki hiyo hali ya barabara kwanza, then njoo kwenye hizo incubators wenyewe wanaita estate, 🤣🤣🤣🤣 hilo safria tutalijadili independently 😆😆
 
Bongolala, I know you are stupid but don't drag me to your level ndio tufanane.

The issue of leaders and prominent people entering other countries secretly (for lack of a better word) for whatever reason is not something new.
Habari yako hii hapa alafu niambie uhusiano wa Magu kuletwa Nairobi na Trump kwenda Iraq kisiri, Wakenya hamna akili huwa mnapenda kulinganisha mambo ya developed na developing countries, haya habari yako hii hapa, niambie hata mtu chizi kama wewe akiona air force one atashindwa kujuwa kinachoendelea?
Screenshot_20211204-233907.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo unakusaidia nini?
Twende nao taratibu tumalize huu mjadala cz hata wao wanajua kwamba ni uongo, wote humu tunajua ni kitu kisichowezekana ila hawa wakunya huwa wanaitumia hii kama silaha ya kukwepa kushindwa pale tunapoongelea sector ya afya, ss leo tunamaliza kabisa hili jambo zen hawatorudia tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesoma lakini nilichoandoka au umekurupuka kujibu.? ulichoandika ndicho nilichomaanisha, Magufuli alikufa ghafla, na ndio maana naamini maneno ya Kassimu Majaliwa alivyosema kwamba Mwamba yupo busy na majukumu yake, kwasababu JPM hakuwa amelezwa mda wote wa wiki mbili.. kama ni hivyo basi nataka ueleze uongo wa prime minister ulikua wapi hapo.??
His denial came after questions about Magu's health and whereabouts had emerged. Your president was away for a whole two weeks and you believe all was well? Where was he for all those two weeks? Serving Tanzanians? Is that what you want to believe?

Like I already told you before, health of a sitting head of state is not handled casually like you think, especially if his or her condition is not improving. There's so much that happened behind the scenes for those two weeks that are beyond your comprehension levels. If Magu wasn't sick (and I mean seriously sick) for those two weeks that he wasn't seen or heard from, then where was he?
 
When you don`t want to accept the truth you are left with no option but to label it as a lie. Tunajua kuwa watanzania are always allergic to truth.
Truth ipi bwana mapesa . Hivi Ile minoti yako bado haijazaa kweli . Nasikia ushakua dollar bilionaire . Jamaa muongo halafu hauna aibu . Much know , shameless, mediocre
 
His denial came after questions about Magu's health and whereabouts had emerged. Your president was away for a whole two weeks and you believe all was well? Where was he for all those two weeks? Serving Tanzanians? Is that what you want to believe?

Like I already told you before, health of a sitting head of state is not handled casually like you think, especially if his or her condition is not improving. There's so much that happened behind the scenes for those two weeks that are beyond your comprehension levels. If Magu wasn't sick (and I mean seriously sick) for those two weeks that he wasn't seen or heard from, then where was he?
Kizungu hakitakusaidia kuepuka ukweli kwamba Magu alirudishwa kwa ndege inayoitwa intelligence na hakukuwa na mfanyakazi hata mmoja cku hyo, njiani hakukuwa na msafara hyo intelligence ilibidi ipange foleni kama gari zingine ili watu wasijue kinachoendelea au sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom