Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Driving in Arusha Tanzania 👇. Oya Don YF njoo ujionee Chuga ilivyonzuri kwa sasa .. kumbe tanzania uliokuja wew ni ya miaka mitano iliyopita ..tz umebadilika sana bro, kwasababu karibu kila kitu tumejenga kipindi hiki ambacho Magufuli ndio alikua raisi .. kuhusu standard of living watu Arusha Wana pesa bro ni vile tu hakuna content creator ambae anafanya mambo za kuonyesha uzur wa miji but leo ntakutaftia baadhi tu ya vid zimewekwa kuhusu makazi ya watu wanaojiweza dani ya ARUSHA 👇. . , na hapa hakuna maeneo kibao yenye wanaishi washua ndani ya Chuga.. halaf eti mnataja taja kuhusu makazi ya watu kisa eti apartments za wakazi wasiozidi 1000😂😂😂 ilihali namba kubwa ya watu wenu wanaishi kwenye nyumba za mabati kama wanyama.. 😂😂😂


