Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hakuna upumbavu kama kusoma mpaka chuo kikuu na unafeli mtihani wa lugha uliyoanzaga kujifunza ungali mtoto.. nyie ni matahira 😂😂😂, yani mnapeleka watu abroad wakasome professionals ili wakirudi walitumikie taifa halafu wanafeli mitihani ya lugha 😂😂😂.. haijawahi kutokea duniani 😂😂😂Kwn mtihani wa kiswahili tz mumefaulu nchi nzima![]()


