Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimesema kama huelewi lugha iliyotumiwa kukutahini, you can't say you're learned.
Ni kama wauguzi wenu waliofeli mtihani, eeeh?
Tunapoongea sahii si Kenya Ina wanafunzi wengi vyuo vikuu vya Marekani kuliko Tanzania?
Kihistoria watanzania hawakuwa na mwamko sana wa kwenda nje. Miaka ya nyuma, serikali ilikuwa inaweka vizingiti vingi kuondoka. Hata kama umepata visa ilikuwa ni lazima upate kibali (exit visa) kutoka serikalini ili uweze kuondoka.

Pia sababu nyingine ni kuwa Tanzania kisheria bado ni nchi ya kijamaa, hivyo huwa inawekewa kauzibe.
Alafu don't make this about yourself and SAT.
Nilikuwa namjibu mwezio aliyeniuliza kuhusu SAT, uwe unasoma kwa umakini.
 
picha za upande💩💩
3018271_JamiiForums-158391614.jpg
3018191_5B700289-F0FB-4C91-AB59-B3346CE32A53.jpeg
 
Ni kama wauguzi wenu waliofeli mtihani, eeeh?

Kihistoria watanzania hawakuwa na mwamko sana wa kwenda nje. Miaka ya nyuma, serikali ilikuwa inaweka vizingiti vingi kuondoka. Hata kama umepata visa ilikuwa ni lazima upate kibali (exit visa) kutoka serikalini ili uweze kuondoka.

Pia sababu nyingine ni kuwa Tanzania kisheria bado ni nchi ya kijamaa, hivyo huwa inawekewa kauzibe.

Nilikuwa namjibu mwezio aliyeniuliza kuhusu SAT, uwe unasoma kwa umakini.
Sawa genius, mimi i had to study for SATs, otherwise even if i got a straight A in english kusema kweli kama singe study i would have failed, si kama TOEFL
 
Ni kama wauguzi wenu waliofeli mtihani, eeeh?
Kufeli mtihani ni jambo la kawaida na huwezi wabeza wauguzi wetu wakati hakuna comparison na wenu ujue wangefanyaje maanake Wakenya wengi wamepita mitihani ya kuenda ng'ambo tu. Kenya has the third highest international students in Subsaharan Africa after Nigeria and Ghana. Lingine, we don't have the factual specifics of that exam maanake the Nursing council wamepinga maneno ya waziri. Hapa Kenya sio kama bongo eti mwanasiasa akisema jambo linakubalika tu kiholela.
Kihistoria watanzania hawakuwa na mwamko sana wa kwenda nje. Miaka ya nyuma, serikali ilikuwa inaweka vizingiti vingi kuondoka. Hata kama umepata visa ilikuwa ni lazima upate kibali (exit visa) kutoka serikalini ili uweze kuondoka.
It was because of your own laziness.
Halafu siongelei wanafunzi wa miaka ya nyuma, naongelea wa sahii. Kenya inao wengi zaidi ya Tanzania.

Pia sababu nyingine ni kuwa Tanzania kisheria bado ni nchi ya kijamaa, hivyo huwa inawekewa kauzibe.
Excuses. The fact remains, more Kenyans have passed the SAT exams than Tanzanians. Vijisababu havina uzito hapa.

Nilikuwa namjibu mwezio aliyeniuliza kuhusu SAT, uwe unasoma kwa umakini.
Sawa
 
Sawa genius, mimi i had to study for SATs, otherwise even if i got a straight A in english kusema kweli kama singe study i would have failed, si kama TOEFL
TOEFL ni mtihani wa kujua kama unaelewa kiingereza kama lugha ya pili ila SAT ni kwaajili yao wenyewe. Tanzania hatufagilii sana hivyo vimitihani vya SAT, kwasababu 'A' level yetu ni sawa na two year college ya Marekani, hivyo huhitaji kufanya SAT kukubaliwa kuingia college.
 
sasa watatokea wapi? huwa wanazitumia kujikomboa kutokana na kichapo cha mbwa tunayo wapea, kisa wamekosa jibu kwao., 😂 😂 😂 😂
The good thing ni kwamba slums zote Kenya ni ardhi ya serikali, anytime ikijiskia inavunja bila compensation. Ndo maana hao jamaa wanajenga na mabati ndo wasiende hasara otherwise wananyumba kwingine.
 
The good thing ni kwamba slums zote Kenya ni ardhi ya serikali, anytime ikijiskia inavunja bila compensation. Ndo maana hao jamaa wanajenga na mabati ndo wasiende hasara otherwise wananyumba kwingine.
Mtanzania hatokubali huu ukweli.,
 
Kufeli mtihani ni jambo la kawaida na huwezi wabeza wauguzi wetu wakati hakuna comparison na wenu ujue wangefanyaje maanake Wakenya wengi wamepita mitihani ya kuenda ng'ambo tu.
Nyinyi ni vilaza kwa kufeli lugha mnayoitumia toka first grade.
Kenya has the third highest international students in Subsaharan Africa after Nigeria and Ghana.
Kuwa na wanafunzi wengi nje ya nchi zao ni dalili za kutokuwa na elimu nzuri katika nchi walizotoka.
Lingine, we don't have the factual specifics of that exam maanake the Nursing council wamepinga maneno ya waziri. Hapa Kenya sio kama bongo eti mwanasiasa akisema jambo linakubalika tu kiholela.
Unataka ushahidi gani tena wewe, wakati wenye lugha yao wamesema mmefeli?
It was because of your own laziness.
Lazy kuamua kukaa nchini mwako?
Halafu siongelei wanafunzi wa miaka ya nyuma, naongelea wa sahii. Kenya inao wengi zaidi ya Tanzania.
Sababu za kihistoria zinafanya watanzania wengi wasiwe na mwamko wa kwenda nje.
Excuses. The fact remains, more Kenyans have passed the SAT exams than Tanzanians. Vijisababu havina uzito hapa.
Watanzani hawahitaji kufanya SAT kukubaliwa vyuoni Marekani.
 
Ukubwa wa Dar ni udongo na idadi ya watu, sio maendeleo., ona sasa!, only around CBD ndio kuko afadhali, tatizo la kukua na city moja., raiya wote wanazamia kule kutafuta maisha, ufukara multiplied, result: makazi uchwara.,
3018493_3018271_JamiiForums-158391614.jpg
Huo ukweli mzalendo halisi Walker255 alishafichua, dar is a mega slumpolis na in future itakua kama Lagos ama Kinshasa
 
Back
Top Bottom