ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hehehhe hebu rudia plz 🤣🤣🤣Mna utalii Gani nyinyi
hehehhe hebu rudia plz 🤣🤣🤣Mna utalii Gani nyinyi
Mnapokea watalii wangapi kwa mwaka🤣🤣🤣hehehhe hebu rudia plz 🤣🤣🤣
hvi tunavozingumza hii ndio meli kubwa east and central africa 🤣🤣👇👇👇Boat kama la pirates of Caribbean😭😭 ndo manake TPA wanaiaminia Sanaa seco engineering.View attachment 2029218View attachment 2029219
tanzania inakusanya 2.6b usd kwa mwaka nyinyi munakusanya 700m usd alaf unataka kushindana nn hapa 😂😂😂😂Mnapokea watalii wangapi kwa mwaka🤣🤣🤣
Mmefikiaje kwa hizo data ikiwa census imewashinda kufanya.tanzania inakusanya 2.6b usd kwa mwaka nyinyi munakusanya 700m usd alaf unataka kushindana nn hapa 😂😂😂😂
Usijali mkuu ,tupo nyuma yako pamoja brother,Kaba wote usiachie🤣🤣🤣🤣🤣🤣naombeni munipatie ulinzi manake vitisho vimekua vingi sana jamani NDINDA The best 007 Geza Ulole Simon Shebby01
naombeni munipatie ulinzi manake vitisho vimekua vingi sana jamani NDINDA The best 007 Geza Ulole Simon Shebby01
.Kwn mtihani wa kiswahili tz mumefaulu nchi nzimaKiingereza siyo lugha inayotumika katika kufundishia shule za awali Tanzania, ila Kenya inatumia lugha hiyo. Hivyo bado sielewi kwanini wasomi wenu wamefeli katika lugha waliyojifunza tangu utotoni.


Sensa imetushindaje fafanua kweli wakenya hamna akiliMmefikiaje kwa hizo data ikiwa census imewashinda kufanya.
Kutofika chuo Kikuu au kutojua English ndio illiterate?So I'm arguing with illiterates? Pole basi.




Hata unafkiri linajua maana ya illiterate hilo.? 😂😂😂 Chizi hilo jamaaKutofika chuo Kikuu au kutojua English ndio illiterate?![]()
Nyinyi ni vilaza kwa kufeli lugha mnayoitumia toka first grade.
Sasa mbona mnaumia wakenya wanapoongea kingereza..
Emu ichanganue vizuri hyo sentensi yakoKutofika chuo Kikuu au kutojua English ndio illiterate?![]()
Hamna uwezo wa kufanya "bone marrow transplant," hii maana yake ni kwamba "Tanzania's public Hospitals are better than Kenya's private Hospitals"Hospitali ngapi lazyland Zina helicopter na helipadView attachment 2029060View attachment 2029061