English is the language of instruction in Tanzanian schools. Ama hapo UDSM mnafundishwa Kwa Kiswahili?Kiingereza siyo lugha inayotumika katika kufundishia shule za awali Tanzania, ila Kenya inatumia lugha hiyo. Hivyo bado sielewi kwanini wasomi wenu wamefeli katika lugha waliyojifunza tangu utotoni.
Umeshawaii fanya SATs bila kustudy?Kiingereza siyo lugha inayotumika katika kufundishia shule za awali Tanzania, ila Kenya inatumia lugha hiyo. Hivyo bado sielewi kwanini wasomi wenu wamefeli katika lugha waliyojifunza tangu utotoni.
Wewe ata lyfboat kumbe hujui ni nini

, msee unashida ya akili kimbia hio muhimbili wakutibuKama hujui Nairobi ulizia kwanza....hii picha inaonyesha CBD,Westlands lakini upande wa juu kwenye le'mac tower haiko....then upperhill inaonyesha uap tower,NSSF tower na Rahimtulla pekee.Ndugu zangu watanzania mmeiona Nairobi![]()
i still wonder how Paul Allen, microsoft core founder and Sergey Brin, google core founder scored a smart 1600/1600!!. Bill gates 1590!Umeshawaii fanya SATs bila kustudy?
aah wapi?.. nairobi by any standards ni kali!🔥Eti hili jiji ndio wanataka kulinganisha na vijiji vya hapa Afrika?!!.... Kilimani,Ngara,Eastleigh na upperhill hazikoView attachment 2028805
Kuna tofauti kubwa unapojifunza lugha ukubwani na utotoni.English is the language of instruction in Tanzanian schools. Ama hapo UDSM mnafundishwa Kwa Kiswahili?
Nilifanya SAT zamani bila kusoma, nilikuwa busy na Physics, Chemistry na Math.Umeshawaii fanya SATs bila kustudy?
Kuna tofauti kubwa unapojifunza lugha ukubwani na utotoni.
Nilifanya SAT zamani bila kusoma, nilikuwa busy na Physics, Chemistry na Math.
Dar Ni mega city nikileta aerial nitakuwa nimeipunja.Nipe aerial nikuonyeshe something 🤣🤣
Nani amekuambia watanzania wote hapa wamefika chuo Kikuu?English is the language of instruction in Tanzanian schools. Ama hapo UDSM mnafundishwa Kwa Kiswahili?
Hivi Bongo on national TV munaweza kuwa na discussions kama hizi zinazouliza maswali tata kwa serikali ama TV zenu ni za akina Dayamondi na Wema Sepetu tu? Jibu hilo utajua nani ako na low IQ kati yetu.
So I'm arguing with illiterates? Pole basi.Nani amekuambia watanzania wote hapa wamefika chuo Kikuu?