Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu kuna flyover moja matata sn inajengwa pale karibu na bandarini ile njia ya kwenda Mbagala, haijawahi kuwekwa humu, mwenye picha ya ujenzi aweke humu au mtu akipata nafasi apige picha pale mana patakuwa na view moja matata sn, kuna flyover, BRT na viaduct kama picha itapigwa kwa juu.
 
Jameni hebu tazameni mkubwa wa majeshi wa Somalia. Ni kijana mdogo sana. Yaani wameuwana hadi hakuna mtu mzee kwenye jeshi lao? Dah! Aisee vita sio kitu kizuri.


from 17m tons in 2017 to 30m tons 2021👇👇👇
12205EE8-4412-4693-9005-5D3E27D66D6F.jpeg
 
uzuri tu slum zetu za kikenyaland sawa tu na Hillbrow ama Alexandra in Jo'burg, ziko very well confined and well distinct and defined, sio scattered na ku mix allover kama Dar-Is-Slum
 
Wakenya mbona leo hawaonekani, kwani wameenda wapi mbona hawajitokezi wajameni 😂😂😂 au ni aibu za kujua uozo wa KRA kudai kwamba wamakusanya Kodi ndefu kuliko TRA, alaf GoK hainauwezo wa kulipa mishahara polisi 😂😂😂
 
DSM
uzuri tu slum zetu za kikenyaland sawa tu na Hillbrow ama Alexandra in Jo'burg, ziko very well confined and well distinct and defined, sio scattered na ku mix allover kama Dar-Is-Slum
Ni kweli I agree with 100%sisi kama wakenya tuko level yetu hatuna competition ukanda huu😁😁😁😁😁
Screenshot_20211124-203522_Instagram.jpg
Screenshot_20211124-203441_Instagram.jpg
Screenshot_20211124-203422_Instagram.jpg
Screenshot_20211124-203346_Instagram.jpg
Screenshot_20211124-203320_Instagram.jpg
Screenshot_20211124-203208_Instagram.jpg
 
😂😂😂we ni Kichaa kweli, Kama kupata kadaraja kamoja ndio kushindana na Dar then sorry for you.. owky this is Kigongo Busisi 👇
maxresdefault(35).jpg
b1.jpg
ErrEd-vXIAExofk.jpg
EAk4956WsAEpazj.jpg
we unafkiri Mombasa na watu wa Mombasa walivyo, inaweza kushindana na Mwanza.? Kama kuwa na kadaraja ni kushindana na Dar 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole sana kashindanishe hako kadaraja na Mwanza tuone kama kitatoboa
 
Back
Top Bottom