Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliandika humu anamtuma mtu Dar aje apige picha then amtumie ili azipost humu...tunaelekea mwezi wa pili kama sio wa tatu alietumwa apige picha za Dar amekosa picha mbayambaya so kilichobaki sasa hivi ni kuokota okota picha ili kujifariji. [emoji23][emoji23][emoji23]

Stupidi manki.
Aliyetumwa kaamua kuzamia Dar mazima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaha, una matatizo ya akili wewe, Sasa hizi picha ndio nini?, Weka visible photos, wacha woga mbona picha za slums zote za Kenya zinaonyesha hadi mifereji na mazingira halisi, kwanini unaogopa kuweka picha zinazoonyesha uhalisia wa eneo husika badala yake unaweka picha zisizoonekana, hizi picha ni Nairobi sio Dar, kanusha kwa ushahidi.
Hawaipendi kweli kweli miji yao, wanasingizia Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilijua munaitisha picha za Karibu ndio mkane. Tukiwawekea za mbali zinazoonyesha landmarks hamtaki.[emoji1787][emoji1787]

View attachment 2021522
Hii nayo c Dar au?[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211122-084408.jpg
Screenshot_20211122-084433.jpg
 
Wakunya kwa kupenda sifa hatari, eti Slum dweller atume mtu kutoka failed state aje Dar kupiga picha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu ni mbabaishaji Tu🙂 kasingizia eti ana tafuta location nzuri😁😁😁
 
Jameni hebu tazameni mkubwa wa majeshi wa Somalia. Ni kijana mdogo sana. Yaani wameuwana hadi hakuna mtu mzee kwenye jeshi lao? Dah! Aisee vita sio kitu kizuri.

 
Dodoma inakimbia sana... Ofisi za Serikali zikikamilika nadhani Dodoma itabidi ianze kulinganishwa na miji ya nje ya Africa Mashariki...

Pia Dar es salaam ikiendelezwa vyema kwa mipango mizuri basi.

Nairobi ibaki inashindana na Arusha
Wasubiri mapicha ya kutishaaa, Dodoma inakwenda kuwapiga watu na kitu kizitoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom