saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
khaa..we vipi.ebu angalia apa umesema nnindio maana yake 75% ni farmers yani kwa kifupi watanzania wengi ni wakulima 😀😀😀😀😀
ndio maana unaona rate of unemployment ni ndogo sana na uzuri wakulima wanajulikana na serekali
"my point is farmers are not employed wao wamejiajiri wenyewe 😀😀😀😀😀'
saa ii umegeuka unasema farmers are employed na wanajulikana na serikali so which is which?